Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Huko Twitter Carol Ndosi aliuliza "Kuna Uhaba wa Dola"? Majibu yalikuja ata kwa kwa watumishi wengine wa bank wakisema ndiyo!

Sasa hizi mbwembwe za World Bank Uchumi wenu huko imara unatokana na nini kama Reserve yetu ya USD iko chini?

Wachumi tuambiane! Mbona exchange ya USD bado iko palepale ikiwa kuna uhaba wa dola kiasi hiki?
Screenshot_2023-05-02-21-57-45-35_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg

Screenshot_2023-05-02-21-58-06-33_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Eeeh! Kumbe mambo ndivyo yalivyo? Sasa hii manaake ni nini? Watalii wamepungua? Au nini hasa kinatokea mpaka USD hiwe adimu?
Kuna wengine hawapendi kwenda kupanga folleni wengine wanapenda umwinyi so unakuta mtu anakupa mchongo lete dora 5000 mnakubaliana yeye anakupa
Dolla ngapi ukimpelekea na husafir anakupa
 
Jamani tuwe tunasoma soma kidogo! Tatizo la uhaba wa USD currency sio la Tanzania peke yake, hili ni tatizo la dunia yote. Please soma link hizi hapa chini kwa taarifa zaidi



 
Jamani tuwe tunasoma soma kidogo! Tatizo la uhaba wa USD currency sio la Tanzania peke yake, hili ni tatizo la dunia yote. Please soma link hizi hapa chini kwa taarifa zaidi



Sisi twaongelea maswala ya Tz wewe waongelea dunia nzima.
 
Back
Top Bottom