Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

Mfano nilisoma sehemu Standard Chartered Bank ndo hutumika kwenye 60% ya pesa za kigeni.
Hivyo faida yao ya Bilioni 85 ilitokana na hilo la kuhusika katika kutuma pesa
Nchi ikiwa na credit za USD ktk overseas Bank inaweza kutrade hizo pesa ktk products mbali mbali Swap, lending to others and get income.

Mfano kenya hawana sisi kupitia accounts za nje tunawakopesha wanatulipa kwa interests au tunaweza kununua US Gvt securities na kupata income.

Kama wakati huu US Federal reserves wamepandisha interest rates inavutia surplus units kununua securities na kucreate shortage kwenye markets.
 
Nchi ikiwa na credit za USD ktk overseas Bank inaweza kutrade hizo pesa ktk products mbali mbali Swap, lending to others and get income.

Mfano kenya hawana sisi kupitia accounts za nje tunawakopesha wanatulipa kwa interests au tunaweza kununua US Gvt securities na kupata income.

Kama wakati huu US Federal reserves wamepandisha interest rates inavutia surplus units kununua securities na kucreate shortage kwenye markets.
Angalau umenielimisha.
Kumbe hizi reserve zinazo ongelewa haziko Tz bali ziko kwenye nchi zingine
 
mkuu rate ikoje?Na unanishaurije mimi ambae nipo na dollar 4000,niendelee kuiweka au niichange?
Usitoe mkuu, mimi nimeitunza nikatoa kwa emergency na nilikuwa nahitaji kwa haraka hela nitumie jana. Usisikilize maneno ya washamba wanaokwambia USD itapotea, huna uzoefu na dhahabu ungekuwa unajua ungenunua ukatunza.
Kaa na USD hizi nchi za Kiafrika hazitabiriki unaweza amka kesho ukasikia fuel terminal za Kigamboni zimeungua ndio utajua uchumi wetu wa mabua usivyotaka shida. Uchumi wa Tanzania una UKIMWI, ukiupa changamoto kama natural disaster utapoteana na rescue mission haiji kirahisi. Wenye akili hawajulikani walipo, vilaza ndio wanasikilizwa na kuongoza.
Nilitoa CRDB kwa 2341 ila huwa naona NBC na airport wana rate nzuri
 
Nachotaka kujua hii hali imesababishwa na nini?
Spike ya dollar demand , watu wananunua sana vitu ghali kutoka huko nje , dola inatafutwa ,
Low exports , ingawa kwetu hii si sana maana tunauza makaa na products kibao huko nje ambapo tunalipwa in terms of dollars
Kupungua kwa utalii inaweza kuwa ni sababu pia
Nimeongea in layman point of view naamini kuna wataalamu wataenda deep au kukosoa
 
Usitoe mkuu, mimi nimeitunza nikatoa kwa emergency na nilikuwa nahitaji kwa haraka hela nitumie jana. Usisikilize maneno ya washamba wanaokwambia USD itapotea, huna uzoefu na dhahabu ungekuwa unajua ungenunua ukatunza.
Kaa na USD hizi nchi za Kiafrika hazitabiriki unaweza amka kesho ukasikia fuel terminal za Kigamboni zimeungua ndio utajua uchumi wetu wa mabua usivyotaka shida. Uchumi wa Tanzania una UKIMWI, ukiupa changamoto kama natural disaster utapoteana na rescue mission haiji kirahisi. Wenye akili hawajulikani walipo, vilaza ndio wanasikilizwa na kuongoza.
Nilitoa CRDB kwa 2341 ila huwa naona NBC na airport wana rate nzuri
Nashukuru sana mkuu
 
Angalau umenielimisha.
Kumbe hizi reserve zinazo ongelewa haziko Tz bali ziko kwenye nchi zingine
Kwa USD main accounts zinakuwa USA kwa GBP zinakuwa UK kwa Euro zinakuwa Europe.

Ndio maana baada ya Russia kuvamia Ukraine US waliconfisticate Russia accounts 300 Billions USD huko US.

USD ndio global reserve currency mfano nchi ikitaka kununua oil inabidi iwe na USD ambazo US wanakukopesha au unauza kwao uzipate.

BRICS wanapambana kuondoa hii current world order kwa kuunda currency yao na kutrade direct between trading partners currencies.

Hiyo ndio de-dollarization
 
Kwa USD main accounts zinakuwa USA kwa GBP zinakuwa UK kwa Euro zinakuwa Europe.

Ndio maana baada ya Russia kuvamia Ukraine US waliconfisticate Russia accounts 300 Billions USD huko US.

USD ndio global reserve currency mfano nchi ikitaka kununua oil inabidi iwe na USD ambazo US wanakukopesha au unauza kwao uzipate.

BRICS wanapambana kuondoa hii current world order kwa kuunda currency yao na kutrade direct between trading partners currencies.

Hiyo ndio de-dollarization
Kwanini nchi za Afrika bado hazijafuata?

Je ikitokea Russia hana anachouza zaidi kwa China, ila China anauza sana hapo wana seto vp?
 
Huko Twitter Carol Ndosi aliuliza "Kuna Uhaba wa Dola"? Majibu yalikuja ata kwa kwa watumishi wengine wa bank wakisema ndiyo!

Sasa hizi mbwembwe za World Bank Uchumi wenu huko imara unatokana na nini kama Reserve yetu ya USD iko chini?

Wachumi tuambiane! Mbona exchange ya USD bado iko palepale ikiwa kuna uhaba wa dola kiasi hiki?
View attachment 2607741
View attachment 2607742
Hata mimi ninashangaa kwanini Tanzania exchange ipo palepale wakati huku South Africa dollar kila uchwao haishikiki
 
Kwanini nchi za Afrika bado hazijafuata?

Je ikitokea Russia hana anachouza zaidi kwa China, ila China anauza sana hapo wana seto vp?
Huu mfumo wa sasa unafavour sana US na wameweponize USD nchi kama Saud Arabia allies wakubwa wa US wanataka kujiunga na BRICS Iran na nchi nyingine nyingi.

US bado ni taifa lenye nguvu itachukua muda BRICS kupata nguvu na Bretton woods inst kama World Bank na IMF US ndio mwenye voting powers nyingi na contributions kubwa na nchi za Africa bado tuna madeni makubwa yao.

Trade imbalance ni normal ktk trade members watakuwa wengi kuna baadhi ya nchi trade imbalance itakuwa in favor ya country yao.

Kwa sasa Trade imbalance iko in favor of China anaexport zaidi kwa nchi nyingine kuliko yeye anavyoimport ndio maana uchumi wa China unakuwa kwa kasi.

Uchumi wa US bado mkubwa GDP trillions 23 usd China 17 trillions USD na China wana FDI nyingi za US western countries na Japan etc
 
Import bill kuongezeka kutokana na Sababu mbalimbali ikiwemo mfumuko wa vitu huko ughaibuni..

Ndio maana Ili kujinasua Nchi nyingi saiizi zimeanza kuikacha dollar
Kuikacha dollar wakati una madeni Ya mabilioni ya dollar mikopo toka benki ya dunia na IMF ni kuwa mwendawazimu tu ,hiyo mikopo watailipa Kwa yuan au rubble ?
Yaani ukope pesa ule halafu ukidaiwa ndio ulete unafiki wako wa kukimbia ,heheeee utajua hujui , muulize Zimbabwe Uncle Sam ni nani
 
Import bill kuongezeka kutokana na Sababu mbalimbali ikiwemo mfumuko wa vitu huko ughaibuni..

Ndio maana Ili kujinasua Nchi nyingi saiizi zimeanza kuikacha dollar
Kuikacha dollar wakati una madeni Ya mabilioni ya dollar mikopo toka benki ya dunia na IMF ni kuwa mwendawazimu tu ,hiyo mikopo watailipa Kwa yuan au rubble ?
Yaani ukope pesa ule halafu ukidaiwa ndio ulete unafiki wako wa kukimbia ,heheeee utajua hujui , muulize Zimbabwe Uncle Sam ni nani
 
Hatuuzi nje na pia tunanunua sana toka nje
Sasa kama ni hivyo Mwigulu anapata wapi ujasiri wa kusema uchumi wetu Uko vizuri?
Mwigulu kipimo chake cha uchumi kuwa vizuri ni uwezo wa serikali kulipa mishahara ili hali kwa miaka kumi na miwili serikali umeshindwa kuwalipa wafanyakazi wa ATC(ATCL) madai yao!!
 
Kuikacha dollar wakati una madeni Ya mabilioni ya dollar mikopo toka benki ya dunia na IMF ni kuwa mwendawazimu tu ,hiyo mikopo watailipa Kwa yuan au rubble ?
Yaani ukope pesa ule halafu ukidaiwa ndio ulete unafiki wako wa kukimbia ,heheeee utajua hujui , muulize Zimbabwe Uncle Sam ni nani
Kwa mfumo wa kibenki kumchukua mdaiwa inawekana na inafanyika Bakhresa anaweza kuwa anadaiwa mabillioni na Bank A Benki B inakubaliana nae na kulipa deni lake Benki A na kuchukua mkopo wake na pia kumuongezea mkopo.

Hata kwa BRICS inaweza kuongea na nchi wadaiwa na World Bank au IMF na kununua madeni na kuhamishia Benk ya BRICS itakayo anzishwa.

Changamoto ni kuwa kuna other strong interests na engagements zinazoambatana na mikopo hiyo.
 
China ni rafiki zetu kwanini wasibadilishe mikopo yake Afrika iende kwa Yuan?
China mikopo yao kwa nchi za kiafrika ni 0.001% against mikopo na misaada inayotoka nchi za Marekani na Ulaya.Mind you ,nchi zilizo kwenye BRICS hawatoi misaada wala mikopo mikubwa kama Marekani.Pia ujue kuwa US ndio mnunuzi mkubwa wa bidhaa za China ,ikifuatiwa na Hong Kong,Japan,Germany nk na wote ni marafiki wa US watalipa kwa US dollar tu.China anaweza kumlazimisha Marekani alipe Yuen but Chna mjanja awezi kumpoteza mmarekani huwa anacheza karata yake vizuri .Na kwa taarifa yako hakuna mtu mnafiki kama Mchina.Mrusi akae nae mbali
 
Back
Top Bottom