Tetesi: Kumbe kuzimwa local channel kuwa za kulipia ulikua ni mpango wa kisiasa

Tetesi: Kumbe kuzimwa local channel kuwa za kulipia ulikua ni mpango wa kisiasa

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Kama kawaida yangu wanajf leo nilikua na mtu wangu anafanya kazi TCRA nikawa namuuliza kuhusu local vipi mamlaka na serikali imeshindwa kudhibiti wakati local channel ni haki ya kila mtz yaani uhuru wa kupata habari

Alichonijibu akanambia wewe hujui huu mpango wa kisiasa akanambia "unamjua bwana yule anayetamani malaika washuke waizime mitandao eeeh"
Nikamjibu "naam namjua"
Akanambia huyu bwana ndo alitoa amri kipindi kile yule "goli la mkono" alivyokua wizara ya habari

Akanambia huu ni mkakati wa kuhakikisha watu wanaangalia tv yetu pendwa ya "ukweli na uhakika" ili watu wakose upande wa pili wa shillingi maana wengi watashindwa kumudu kulipia na kweli kabisa wengi wameshindwa kulipia yaani ktk kumi wenye visumbusi 3 tu ndo wanalipia 7 hawalipi wanabaki na ile tv yetu pendwa

Kumbe yule malaika kaanzia kwenye tv eeeh kweli twafaaaa bado mitandao ya kijamii
 
Lakini TCRA walituhubiria kwamba local channels zitakuwa bure. Nakumbuka kurudiwarudiwa kwa hii kauli wakati tunahama kutoka analog kwenda digital.
 
Duh ni malaika yule wa kupenda kusifiwa tu kumbe ndiyo amri yake hii? Na sasa pia anataka ma-bloggers wawe na leseni walipie $930. Na Internet cafes zote ziweke CCTV ili akishutumiwa ajue ni nani ili akamatwe. Na pia sheria yake mpya ya mtandao ni kwamba ukipatikana na kosa ulipe faini siyo chini ya shs 5M! Au kifungo cha miezi 12 au faini na kifungo pia. Nafikiri malaika huyu siyo Jibril wala Gabriel bali ni IBILISI!
 
Imesemwa sana hii na watu wamelalamka sana kuhusu kutotekelezwa kwa agizo la kutokata local channels, lakini serikali kimyaaaaaaaa!
 
WaTz sahizi tuko bize na mambo makubwa mawili, 1.5 Trillion (japokuwa imeshaanza kufifia kiduuchu baada ya kutolewa ufafanuzi leo hii) pamoja na kifo cha Masogange (may her beautiful soul rest in eternal peace [emoji22]) kilichotokea leo hii. Mambo ni motooo, mambo ni hiviiii (in Shilawadu's voice).
 
kila siku afadhali ya Jana.
mambo yana zuka utadhani volcano.
 
WaTz sahizi tuko bize na mambo makubwa mawili, 1.5 Trillion (japokuwa imeshaanza kufifia kiduuchu baada ya kutolewa ufafanuzi leo hii) pamoja na kifo cha Masogange (may her beautiful soul rest in eternal peace [emoji22]) kilichotokea leo hii. Mambo ni motooo, mambo ni hiviiii (in Shilawadu's voice).
[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Back
Top Bottom