stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Kwahiyo ungependelea ziwe zinarushwa bure,halafu gharama zilipwe na serikali,kama ndio hivyo basi bado tuna safari ndefu sana..Science and technology jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ungependelea ziwe zinarushwa bure,halafu gharama zilipwe na serikali,kama ndio hivyo basi bado tuna safari ndefu sana..Science and technology jaman
nilisema mkuu leo yametokeaDuh ni malaika yule wa kupenda kusifiwa tu kumbe ndiyo amri yake hii? Na sasa pia anataka ma-bloggers wawe na leseni walipie $930. Na Internet cafes zote ziweke CCTV ili akishutumiwa ajue ni nani ili akamatwe. Na pia sheria yake mpya ya mtandao ni kwamba ukipatikana na kosa ulipe faini siyo chini ya shs 5M! Au kifungo cha miezi 12 au faini na kifungo pia. Nafikiri malaika huyu siyo Jibril wala Gabriel bali ni IBILISI!
Hata wafagizi na wasafisha vyoo (no offense) wapo TCRA wanafanya kazi. Unaweza ukawa umeambiwa na jamaa yoyote anayefanya kazi wa TCRA.Kama kawaida yangu wanajf leo nilikua na mtu wangu anafanya kazi TCRA nikawa namuuliza kuhusu local vipi mamlaka na serikali imeshindwa kudhibiti wakati local channel ni haki ya kila mtz yaani uhuru wa kupata habari
Alichonijibu akanambia wewe hujui huu mpango wa kisiasa akanambia "unamjua bwana yule anayetamani malaika washuke waizime mitandao eeeh"
Nikamjibu "naam namjua"
Akanambia huyu bwana ndo alitoa amri kipindi kile yule "goli la mkono" alivyokua wizara ya habari
Akanambia huu ni mkakati wa kuhakikisha watu wanaangalia tv yetu pendwa ya "ukweli na uhakika" ili watu wakose upande wa pili wa shillingi maana wengi watashindwa kumudu kulipia na kweli kabisa wengi wameshindwa kulipia yaani ktk kumi wenye visumbusi 3 tu ndo wanalipia 7 hawalipi wanabaki na ile tv yetu pendwa
Kumbe yule malaika kaanzia kwenye tv eeeh kweli twafaaaa bado mitandao ya kijamii
Hii kauli nadhani umeanza kuisomea nambaAcha kupenda vya bure hata hiyo local channels Wamiliki wanalipa kodi pia
Hii Avatar picture yako uliyoiedit, mpe hi huyo Nigga aliyeitengeneza kabla hujaedit na kuweka yako!Sasa mbona watu walikuwa kimya ?