Tetesi: Kumbe kuzimwa local channel kuwa za kulipia ulikua ni mpango wa kisiasa

niliwahi kusema hapa jukwaani
 
nilisema mkuu leo yametokea
 
Hata wafagizi na wasafisha vyoo (no offense) wapo TCRA wanafanya kazi. Unaweza ukawa umeambiwa na jamaa yoyote anayefanya kazi wa TCRA.
 
Teknolojia haina mipaka.. tutapashana taarifa kwa kasi ya ajabu, akizima surface web internet sisi tutaingia deep web.
 
Sasa mbona watu walikuwa kimya ?
Hii Avatar picture yako uliyoiedit, mpe hi huyo Nigga aliyeitengeneza kabla hujaedit na kuweka yako!

Jamaa ni kichwa mbaya A new Designer in Town!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…