Kumbe laki 1 zikiwa 50 tu ni million 5 ambazo unanunua gari kabisa

Kumbe laki 1 zikiwa 50 tu ni million 5 ambazo unanunua gari kabisa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Potelea mbali hata kama likiwa bovu kidogo ila nataka na mimi gari mwakani nimepiga hesabu kumbe laki mja moja zikifika 50 tu unakuwa na million 5..sasa kama mpaka sasa tu nina laki kama 24 hivi.

Yaani million 2.4 ina maana bado laki kama 26 tu mbona hizo nafikisha wakuu. maana kama kila mwezi nikiweka laki 4 si miezi mi 5 tu nitakuwa vzr. nna kama kuna gari za million 3 wekeni hapa wadau.
 
Potelea mbali hata kama likiwa bovu kidogo ila nataka na mimi gari mwakani nimepiga hesabu kumbe laki mja moja zikifika 50 tu unakuwa na million 5..sasa kama mpaka sasa tu nina laki kama 24 hivi..yaani million 2.4..ina maana bado laki kama 26 tu mbona hizo nafikisha wakuu..maana kama kila mwezi nikiweka laki 4 si miezi mi 5 tu nitakuwa vzr..na kama kuna gari za million 3 wekeni hapa wadau.
Pambana mkuu upate hitaji la moyo wako
 
Gari issue ni kulihudumia ! Wanasema ni mke wa pili !

Je shughuli zako zina uhitaji wa gari ?

Kwa bajeti hiyo hutapata gari stable, jitahidi walau zigike 10m, utapata gari bado nzima na utaitumia katika shughuli zako za kila siku !
 
Shikilia hapo hapo iko siku na wewe utaenda safari zako ukiwa umekaa...
 
Mkuu nakushauri usinunue gari ,mimi nilinunua gari kwa milioni 13 ya mkopo sina hamu na gari lenyewe nikauza milioni 7 .Sasa hivi natembelea nissan sunny najifanya old school .Nilinunua M 2 na laki nane.Na lenyewe ntauza tu .Ila kusikia kwa kenge mpaka atoe damu masikioni .Kazi kwako.
 
Mkuu nakushauri usinunue gari ,mimi nilinunua gari kwa milioni 13 ya mkopo sina hamu na gari lenyewe nikauza milioni 7 .Sasa hivi natembelea nissan sunny najifanya old school .Nilinunua M 2 na laki nane.Na lenyewe ntauza tu .Ila kusikia kwa kenge mpaka atoe damu masikioni .Kazi kwako.
Mkuu tuongee hilo la nissan sunny vpi ina shida gani sana..niuzie tu na mimi linihangaishe
 
Mkuu tuongee hilo la nissan sunny vpi ina shida gani sana..niuzie tu na mimi linihangaishe
Kuna sehemu limetoboka ,milango mpaka uwe ninja unaweza kujikuta unalala humo humo mara ifunguke mara ikugomee.Kuna kikazi nikikimaliza tu nakuachia uhangaike nalo mimi ngoja nitumie pikipiki tu.
 
Kuna sehemu limetoboka ,milango mpaka uwe ninja unaweza kujikuta unalala humo humo mara ifunguke mara ikugomee.Kuna kikazi nikikimaliza tu nakuachia uhangaike nalo mimi ngoja nitumie pikipiki tu.
Ila safari linapiga vizuri ? Engine iko sawa ,matunzo kiasi unalipatia ? Ikiwa ndiyo Basi Kaka ndege JOHN asipolichukua lilete niishi nalo hapa kijijini Kaka.
 
Back
Top Bottom