Na kwenye hili la tuzo EATV wamewapiga bao Clouds after two or three years itakuwa ni event kubwa sana inayopendwa na watu... Nice move EATV msirudi nyuma tuClouds wanapenda ligi..!!
Watajaza tu vitoto kama kawaida yao
Mkuu naona umeanza kuishiwa vya kuandika sasa... mbona unaenda nje ya mada?Bro, acha mambo ya kuchonganisha wasanii na vyombo vya habari, kwajinsi ninavyoona ni kama WCB shoo yao ya 24/12/2016 imenunuliwa na Clouds so kinachofanyika sasa ni kuanza kuwapigia debe wao kisha waungane kwa pamoja kwenye kupromoti hiyo shoo ya WCB. Hebu angalia hili tangazo hapo,usikie sauti ya B.dozen.
Edo bashir huyu huyu wa ebony fm?Sio Error anaitwa Edo bashir (Edwin bashir)
After schoo bash yenyewe inaisha saa moja
Clouds wapiga hela tu wanatumia vitu au watu wanaotrend kupiga pesaivi ilikuwaje hao basata waliwanyima clouds kibali cha kuanzisha tuzo zao kipindi kile 2005 halafu wakaja kuwapa kilaini hawa east africa
Usipende ku generalize mambo sio wa TZ wote yaweza kuwa wwMajungu,uchonganishi,wivu,umbea ni jadi ya MTZ
Asilimia kubwaUsipende ku generalize mambo sio wa TZ wote yaweza kuwa ww
huyo huyo mkuuEdo bashir huyu huyu wa ebony fm?
kafikaje humu kwenye hii threadhuyo huyo mkuu
Unataka wapige mawe???Clouds wapiga hela tu wanatumia vitu au watu wanaotrend kupiga pesa
angalia kwa aliyeanzisha uzi hapo juu aya za mwisho mwisho amemtaja nikawa namsahihishakafikaje humu kwenye hii thread