Kumbe Leo ni 10/12/2016 Kuna Vuta Nkuvute!

Clouds wanapenda ligi..!!

Watajaza tu vitoto kama kawaida yao
Na kwenye hili la tuzo EATV wamewapiga bao Clouds after two or three years itakuwa ni event kubwa sana inayopendwa na watu... Nice move EATV msirudi nyuma tu
 
Mkuu naona umeanza kuishiwa vya kuandika sasa... mbona unaenda nje ya mada?
 
ivi ilikuwaje hao basata waliwanyima clouds kibali cha kuanzisha tuzo zao kipindi kile 2005 halafu wakaja kuwapa kilaini hawa east africa
Clouds wapiga hela tu wanatumia vitu au watu wanaotrend kupiga pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…