Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,149
Aiseee, miaka inasonga na hii JF imetufanya tumekuwa kama walevi vile. Yaani kufumba na kufumbua tayari nimegonga 6 years nikiwa member wa JF. Kwa kweli wakuu nimekuwa siyo mchoyo kwa mambo mengi.
Nimeangalia records zangu kule nakuta kwamba nimepokea likes 854 na nime-like 855. Hii imenishangaza sana utafikri nilipanga kwamba Madame B aki-like nami namgongea like kumbe sivyo.
Jamani namtolea mfano Madame B maana kule kwenye jukwaa pendwa tangu nilivyojiunga alikuwa anatisha, ingawa sasa hivi naona uzee umenisonga hata nimejikuta nimepoteza shauku ya kuchunguliachungulia kwenye jukwaa pendwa.
Asante nyingi kwake yeye aliyebuni kuanzisha JF imetufunza mengi na inatusaidia kutibu Magufulisiosis. Maana ukiingia JF hata kama ulikuwa na msongo wa mawazo hakika utaondoka within a short time.
Nimeangalia records zangu kule nakuta kwamba nimepokea likes 854 na nime-like 855. Hii imenishangaza sana utafikri nilipanga kwamba Madame B aki-like nami namgongea like kumbe sivyo.
Jamani namtolea mfano Madame B maana kule kwenye jukwaa pendwa tangu nilivyojiunga alikuwa anatisha, ingawa sasa hivi naona uzee umenisonga hata nimejikuta nimepoteza shauku ya kuchunguliachungulia kwenye jukwaa pendwa.
Asante nyingi kwake yeye aliyebuni kuanzisha JF imetufunza mengi na inatusaidia kutibu Magufulisiosis. Maana ukiingia JF hata kama ulikuwa na msongo wa mawazo hakika utaondoka within a short time.