Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Hata mimi silioni kosa la drevaSiku nyingine jifunze kujali mambo yanayokuhusu tu, hayo mengine waachie wenyewe.
Moto kila kona mkuu!Tatizo Manyoni Kuna Moto Sana..watu wanafanya ngono sn hiyo wilaya
"tena wanaume ni wambeya kuliko hata wanawake" mamaaaa hahahahaTaarifa umeileta kishambenga
Mnatia aibu Sana wanaume wa kizazi hiki"tena wanaume ni wambeya kuliko hata wanawake" mamaaaa hahahaha
we mrembo ni vipi?? utakosa wachumba kwa masimamngo yakoMnatia aibu Sana wanaume wa kizazi hiki
Niko tayari kufa msimbe kuliko kuolewa na mwanaume mbeeeeawe mrembo ni vipi?? utakosa wachumba kwa masimamngo yako