warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #21
Haaa kafika Chuo lini tena?
Mwaka 2012 nakumbuka alikuwa form 3 ! Au kisa baba ake Simba wa Yuda !
Yupo U.S.A baba yake yuko njema hatar kifedha, yule mtoto wa kushua haswaa trip za majuu kwao kama wanaenda kariakoo, kukaa ulaya kwao ni kawaida sana.