Kumbe Lulu Michael na Faiza ni mapacha

Kumbe Lulu Michael na Faiza ni mapacha

Mkuu nipo mkoa now , I had a long and busy day, hii ishu niliwahi kuizungumzia mwaka Jana kuhusu Millard ayyo kuwa punga , watu wakabisha sana kwa kuwa tu muonekano wake na upole wake haviendani na mambo machafu anayoyafanya, in short ndio hvyoo , umzaniaye ndiye kumbe siye

Wewe unaweza kuamni yule muigizaji wa bongo movie Mohammed mwikongi aka frank naye ni punga? , ni ngumu kuamini haswaa ukiangalia mwili wake ulivyojazia na swaga za ki gentleman anazotupia kumbe kijana sio , bora angekuwa anakula yan analiwa live, wengine ntarud.

Huyo jamaa ni kweli punga tena alikua anamegwa na friend wangu kabisa halafu hela zenyewe wanazohongwa ni vilaki mbili unaweza kudhani ni mamilioni halafu ile radio station yao asilimia kubwa ya walume ni mapunga
 
Huyo jamaa ni kweli punga tena alikua anamegwa na friend wangu kabisa halafu hela zenyewe wanazohongwa ni vilaki mbili unaweza kudhani ni mamilioni halafu ile radio station yao asilimia kubwa ya walume ni mapunga

Ukimuona kama unamsingizia vile kumbe ma chronic
 
Ukimuona kama unamsingizia vile kumbe ma chronic

Ha ha ha halafu binamu unajua info zako ni kweli tupu?? Unafaa kuwa reliable source of info sijui kwanini hao visonoko walamba ukoko wanakudiss
 
Eeh bhna, kesho usikose mapema sana uwahi, tutaanza kuandaa daftar la maudhurio humu jukwaa pendwa, naona maudhurio yanakuwa hafifu kwa baadhi ya wadau humu, Dinazarde , mamakibunju, TATIANA, Heaven on Earth, lusungo, mrembo by nature, Money Stunna, qn of sheba, Evelyn Salt, Matola, Excel na wengine wote , inabid tuwe imara sana kipindi hiki maana kuna baadhi ya watu wamejiunga humu kwa kusudi la kuua jukwaa pendwa, we have to say Big no to this, humu tupo miaka yotee .

wiki hii nilikuwa kimya utadhan na ban vile, mengi nimepitwa humu binamu
 
Back
Top Bottom