Kumbe maandamano ya GEN Z sio self initiative bali ni fedha za mabwanyenye?

Kumbe maandamano ya GEN Z sio self initiative bali ni fedha za mabwanyenye?

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Penye uzia penyeza rupia!

Kumbe mbwembwe zote zile za maandamano ya GEN Z huko Kenya nilidhani inatokana na hisia kamili za Wanaojiita Gen Z kumbe kuna mabwanyenye ambao inawezekana mirija yao ya kunyonya fedha imekatwa.

Shime vijana wetu ingieni China...ingieni shambani ingieni kwenye michezo na burudani mjijenge kimaisha na kamwe msitumike na wahuni waliozoea kupiga hela.
 
Unaumia na wanaofaidika ni wengine
 
"War is young men dying and old men talking. You know this. Ignore the politics." #Troy(2004)
 
Penye uzia penyeza rupia!
kumbe mbwembwe zote zile za maandamano ya GEN Z huko kenya nilidhani inatokana na hisia kamili za Wanaojiita Gen Z kumbe kuna mabwanyenye ambao inawezekana mirija yao ya kunyonya fedha imekatwa.

Shime vijana wetu ingieni China...ingieni shambani ingieni kwenye michezo na burudani mjijenge kimaisha na kamwe msitumike na wahuni waliozoea kupiga hela.
Wewe inajulikana ni mjinga ubongo wako una fungus.
 
Back
Top Bottom