Siku moja mtoto wangu wakike mwenye miezi 7 alipoamka kutoka usingizini alianza kulia mara baada ya muda machozi yalimwingia masikioni kwani alikuwa amelalia mgongo na dada wa kazi alichelewa kumtoa kitandani,hivyo alilia kwa muda kidogo na baadae akanyanyuliwa mara baada ya masaa kadhaa maskio yake yakaanza kutuo usaha niliogopa sana,mama yake alimpeleka hospitali kupata tiba,hapo ndipo nilipo gundua na kuambiwa kuwa machozi ni sumu pia