Kumbe magari yenye Namba C yalihamia Kanda ya Ziwa

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Nilikuwa najiuliza yapo wapi magari yenye Namba C maana kule Dar es Salaam hayaonekani. Miaka ile jiji zima lilikuwa na hayo magari lakini siku hizi hayapo.

Baada ya kutembea Kahama, Maswa, Meatu, Kwimba, Mwanza, Geita, Sengerema, Ukerewe, Chato, Bukoba, Magu, Bunda, Busega, Musoma na Tarime nimefahamu kumbe yalihamia huku.
 
Unataka kusema kanda ya ziwa no.D na E hayajafika? au ulimaanisha nini kusema enzi hizo dar kulikuwa na no.c nyingi?enzi hizo lini na sasa hivi hali ikoje?
 
Naihitaji sana Toyota Probox, ila bei yake imesimama haswa.
Ngoja niende kwetu Malinyi nikalime kunde mbaazi mwaka huu nipate japo roba kubwa 100 za kilo 100

100 X 100 X 2500 = 25,000,000/= Tsh.

Hapo naingia showroom mabega juu kabisa.

Asanteni.
 
Sie huku Arusha tumekomaa na namba A na hautuambii kitu na 110 zetu (mandolini) huku mbugani na mkonga 1hz.
 
Naihitaji sana Toyota Probox, ila bei yake imesimama haswa.
Ngoja niende kwetu Malinyi nikalime kunde mbaazi mwaka huu nipate japo roba kubwa 100 za kilo 100

100 X 100 X 2500 = 25,000,000/= Tsh.

Hapo naingia showroom mabega juu kabisa.

Asanteni.
Hujaweza ya petrol
 
Naihitaji sana Toyota Probox, ila bei yake imesimama haswa.
Ngoja niende kwetu Malinyi nikalime kunde mbaazi mwaka huu nipate japo roba kubwa 100 za kilo 100

100 X 100 X 2500 = 25,000,000/= Tsh.

Hapo naingia showroom mabega juu kabisa.

Asanteni.
Bila kusahau ufuta kaka,

Nenda kilosa kwa mpepo kalime ufuta eka zako kumi tu,ukivuna unatafuta ya kwako na d ya juu au E
 
😃
 
Kuna Watu hapa hapa Dar wana gari no A na ni nzuri sana kupita hata no C & D.

"Kitunze kikutunze au mali ya Mjomba haina huruma" ni Mtu na Mtu kitabia.
 
Kabisa yaani na huwezi ku judge gari kwa kutumia plate no.
 
Naona unatafuta kuuza gari lako la zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…