Elections 2010 Kumbe magazeti yanayotumiwa kumpaka matope Dr Slaa hayanunuliwi?

Elections 2010 Kumbe magazeti yanayotumiwa kumpaka matope Dr Slaa hayanunuliwi?

Wasomaji wengi wa magazeti ni watu wenye kipato angalau wanauwezo wa kununua gazeti na wanapatikana zaidi mijini hivyo basi hao hao ni waelewa wa nchi hii inavyotafunwa na mafisadi na ndio maana hawanunui magazeti ya propaganda kama Uhuru, Rai, Mtanzania, Tazama, Sunday news etc lakini kwa CCM utopia bado wao wanaamini kuwa mambo ni shwari tu wala hawana juhudi za kuyafufua wakiamini senti zao zitawaopoa toka kwenye janga linalokuja
 
Back
Top Bottom