Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
- Thread starter
- #21
Nitafanya hivyo mkuu🙏🏿Katika hizo pesa utakazo pata usisahau kutoa fungu la kumi kama unaamini katika hilo.
Kila la heri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafanya hivyo mkuu🙏🏿Katika hizo pesa utakazo pata usisahau kutoa fungu la kumi kama unaamini katika hilo.
Kila la heri.
Matrekta yapo na vibarua wapo hivyo Sikuitaji mke kwaajili ya kunisaidia kulima. Ila Nilichogindua wanawake hawapendi wanaume wakulima. Wanawapenda wa ofisini zaidiMke wa kukusaidia kulima ulimpata?
🙏🏿Good for you.
Ana mbinu huyu jamaa,tangu majuz anatafuta mke,kumbe kamwandalia shambaKwani mke amekuwa trekta 🤣 🤣
Safi sanaa mkuuNilivyomaliza chuo mwaka jana nilisambaza CV org nyingi na baadhi wakanialika kwa usaili. Nilifanya interview kama 5 bila kupata kazi nikagundua kwamba napoteza vijipesa vyangu kwenye safari zisizoonyesha kuzaa matunda kwa sababu unakuta gharama ya interview moja nauli kwenda na kurudi, chakula na malazi ni zaidi 100,000.
Msimu wa kilimo ulivyofika nikaamua kuachana na kuhudhuria interviews, nikajikita kwenye kilimo. Nililima ekari 6, yaani tatu za mahindi na tatu za alizeti. Mazao yamekomaa na yanaridhisha kwa kweli na makadirio ya chini ya mavuno ni gunia 45 za mahindi na gunia 12 za alizeti.
Kwa maoni yangu mimi hali siyo mbaya kwani mwaka huu haya mazao niliyolima yana bei nzuri sana sokoni. ni mwanzo tu kwani Mwakani nitalima ekari 10. Siyo lazima wote tuwe billionaires anyway ila umasikini lazima ung'oe nanga.
Vijana wa mjini haswa graduates, ingieni shambani mjaribu bahati yenu . Nawakumbusha tu kwamba maisha ni leo na siyo kesho, umri haukusubiri hadi upate kazi za ofisini. Nawakumbusha pia kwamba kilimo cha kutegemea mvua ni kamari
Tunawapenda ila tatizo mazao sikuhizi yanakauka sana na jua uzalishaji umekuwa 40%Matrekta yapo na vibarua wapo hivyo Sikuitaji mke kwaajili ya kunisaidia kulima. Ila Nilichogindua wanawake hawapendi wanaume wakulima. Wanawapenda wa ofisini zaidi
Lakini kabla ya kuwa na uwezo wa ku install drip irrigation system ni lazima tuanzia hukuKilimo kinalipa, kama uhakika wa maji upo
Na nyie ni results oriented. Hamtaki kusikia changamoto yeyoteTunawapenda ila tatizo mazao sikuhizi yanakauka sana na jua uzalishaji umekuwa 40%
Shukrani🙏🏿Safi sanaa mkuu
Hongera
Unategemea kupata faida kiasi gani, baada ya kutoa gharama?Lakini kabla ya kuwa na uwezo wa ku install drip irrigation system ni lazima tuanzia huku
😁😁😁Hapana. Namuhitaji mke na siyo mjoliAna mbinu huyu jamaa,tangu majuz anatafuta mke,kumbe kamwandalia shamba
Fursa hiyo, itumieAna mbinu huyu jamaa,tangu majuz anatafuta mke,kumbe kamwandalia shamba
Duu manabii mshaanza kudai chenu mapemaKatika hizo pesa utakazo pata usisahau kutoa fungu la kumi kama unaamini katika hilo.
Kila la heri.
Hizo ekali sita nitapewa Bure pamoja na mtaji wa kilimo? +lack of capital ni key point tangu jiografia ya form wani tunaisomaNilivyomaliza chuo mwaka jana nilisambaza CV org nyingi na baadhi wakanialika kwa usaili. Nilifanya interview kama 5 bila kupata kazi nikagundua kwamba napoteza vijipesa vyangu kwenye safari zisizoonyesha kuzaa matunda kwa sababu unakuta gharama ya interview moja nauli kwenda na kurudi, chakula na malazi ni zaidi 100,000.
Msimu wa kilimo ulivyofika nikaamua kuachana na kuhudhuria interviews, nikajikita kwenye kilimo. Nililima ekari 6, yaani tatu za mahindi na tatu za alizeti. Mazao yamekomaa na yanaridhisha kwa kweli na makadirio ya chini ya mavuno ni gunia 45 za mahindi na gunia 12 za alizeti.
Kwa maoni yangu mimi hali siyo mbaya kwani mwaka huu haya mazao niliyolima yana bei nzuri sana sokoni. ni mwanzo tu kwani Mwakani nitalima ekari 10. Siyo lazima wote tuwe billionaires anyway ila umasikini lazima ung'oe nanga.
Vijana wa mjini haswa graduates, ingieni shambani mjaribu bahati yenu . Nawakumbusha tu kwamba maisha ni leo na siyo kesho, umri haukusubiri hadi upate kazi za ofisini. Nawakumbusha pia kwamba kilimo cha kutegemea mvua ni kamari
Natarajia net profit iwe1.6m. sikutumia gharama kubwa kwani shamba ni la nyumbani na ekari tatu nilipalilia mwenyewe kwahiyo hapo ni gharama za trekta , kuotesha na palizi ya ekari tatu tu. Huku hatutumii mbolea za kununuaUnategemea kupata faida kiasi gani, baada ya kutoa gharama?
Mavuno kidogo tu ushaanza kuwa motivesheni sipika....Mazao yamekomaa na yanaridhisha kwa kweli na makadirio ya chini ya mavuno ni gunia 45 za mahindi na gunia 12 za alizeti
Pole sana mkuu. Kusanya hata 80,000 ya kulimia na kuoteshea ekari moja ya kuanzia.Hizo ekali sita nitapewa Bure pamoja na mtaji wa kilimo? +lack of capital ni key point tangu jiografia ya form wani tunaisoma
Akili zako ziko unapotolea uchafu mzito.
Ajabu, Wao wanatoaga mafungu yao kwa waganga sisi hatuongei😁Akili zako ziko unapotolea uchafu mzito.