Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezaliwa lini hujui hiyo historia?Taarifa za uongo hizi
Wewe ni mtotoNimesema, hizo ni taarifa za uongo
Nyie watoto hata historia ndogo inawashinda kuijua? Ngoja nikupe darasa. Sawa ngoja nikuelezeeNimesema, hizo ni taarifa za uongo
CCK ni tawi la CCM, hujitokeza wakati wa uchaguzi tu.Kumbe tulikuwa tunahangaishwa na majitu ya hovyo hovyo tu, nilidhani ni mwana CCM makini.
View attachment 3232315
Hacha uongo, wasira alishindwa kula za maoni ya ubungeCCM(1995)Nyie watoto hata historia ndogo inawashinda kuijua? Ngoja nikupe darasa. Sawa ngoja nikuelezee
Nape Nnauye alianzisha kundi la CCK akiwa ndani ya CCM. Kundi hili lililenga kuleta mabadiliko ndani ya chama, ikiwa ni pamoja na kuhamasisha uwazi na uwajibikaji.
CCK iliwakusanya vijana na wanachama wengine wa CCM ambao walikuwa na mtazamo wa kuleta mabadiliko chanya ndani ya chama.
Kuhusu Steven Wasira, alikuwa mwanachama wa NCCR-Mageuzi kabla ya kujiunga na CCM. Wasira alihama kutoka NCCR-Mageuzi baada ya kutofautiana na chama hicho, na kisha alijiunga na CCM ambapo amekuwa mwanachama tangu wakati huo.
Masele Stephen auWafikuzeni Masele na Mpina tujue kuwa mko serious
Hata Mtikila hakuwahi kumuona, alikuwa darasa la 7Umezaliwa lini hujui hiyo historia?
Kusema kwamba hujui? auTaarifa za uongo hizi
Shida iko wapi ? Mwanaccm anaweza kuwa kesho chauma , AcT n.k hivyo hivyo mgombea wa upande mwingine anaweza kuwa ccm , sioni shida maana na mahamuzi ya mtu binafsi nje ya rushwa .Kumbe tulikuwa tunahangaishwa na majitu ya hovyo hovyo tu, nilidhani ni mwana CCM makini.
View attachment 3232315
Uko sahihi maana wanaccm halisi ni makondoo watupu hawana uthubutu wa kuhoji lolote. Hata mimi nimeshangaa hizo maiti hai za ccm zimeamka lini na kuanza kuhoji?Kumbe tulikuwa tunahangaishwa na majitu ya hovyo hovyo tu, nilidhani ni mwana CCM makini.
View attachment 3232315
Huyo ni mpumbavu, angekuwa mjinga tungemuelimishaShida iko wapi ? Mwanaccm anaweza kuwa kesho chauma , AcT n.k hivyo hivyo mgombea wa upande mwingine anaweza kuwa ccm , sioni shida maana na mahamuzi ya mtu binafsi nje ya rushwa .
Mjibuni kwa hoja ,sio kimbilia mvua uanachama , ccm mna laana
Kitila MkumboWasira alihama kutoka NCCR-Mageuzi baada ya kutofautiana na chama hicho, na kisha alijiunga na CCM ambapo amekuwa mwanachama tangu wakati huo.
Chizimkazi kawaambia mfukuzeni huyo ananichapaUko sahihi maana wanaccm halisi ni makondoo watupu hawana uthubutu wa kuhoji lolote. Hata mimi nimeshangaa hizo maiti hai za ccm zimeamka lini. A kuanza kuhoji?