Wasira hajawahi kuwa NCCR kindakindaki!Muulize Nape et al kwa maana ndio muasisi wa CCK. Kumbuka makamo wa mwenyekiti wako taifa Steven Wasira aka Tyson alikuaga mwana NCCR kindaki ndaki.
Ni hayo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasira hajawahi kuwa NCCR kindakindaki!Muulize Nape et al kwa maana ndio muasisi wa CCK. Kumbuka makamo wa mwenyekiti wako taifa Steven Wasira aka Tyson alikuaga mwana NCCR kindaki ndaki.
Ni hayo tu.
Aligombea Ubunge wa MWIBALA akiwa nccr wakati Warioba Sinde akisimama upande wa CCM na ushindi uliamria mahakamani.Wewe ni mtoto
Wasira alishawah kuwa nccr mageuzi leo ni makamu mwenyekiti wa ccm
Na alifungiwa kuwa mpiga kura na Mahakama kwa kosa la kutoa rushwa katika uchaguzi.Wewe ni mtoto
Wasira alishawah kuwa nccr mageuzi leo ni makamu mwenyekiti wa ccm
Hawa ndiyo vibaka walioijua CCM enzi za uenyekiti wa Samia.Umezaliwa lini hujui hiyo historia?
Haujasema.Umeandika.Na hatujui wajihi wako.Unaweza ukawa hata bubu-kiziwi unayeweza kujieleza kwa kuandika.Nimesema, hizo ni taarifa za uongo
Una uandishi wa kiswahili kibovu sana.Jaribu kutumia mother tongue yako.Hacha uongo, wasira alishindwa kula za maoni ya ubungeCCM(1995)
akahamia upinzani akashinda ubunge kupitia upinzani, akapigwa mahakamani na kupoteza ubunge plus kufungiwa Kiwania nafasi ya Ubunge, ndio akasurrender nakurudi CCM..
Bashiru....Aliwahi kuwa CuF...akawa KM CCMWewe ni mtoto
Wasira alishawah kuwa nccr mageuzi leo ni makamu mwenyekiti wa ccm
Masele MleviMasele Stephen au
Ova
Ni kawaida hata Mshinji alikuwa Katibu ila leo yupo CCM ,Gaucho Katambi alikuwa Mwenyekiti Bavicha sasa yupo CCM ,si ajabu kwa Malisa alikuwa CCK na sasa CCM ,cha msingi je hoja zake wamezizingatia kwamba SISIEMU wamevunja katiba kwa kunyima wanachama wake haki ya kuchagua na kuchaguliwa.Kumbe tulikuwa tunahangaishwa na majitu ya hovyo hovyo tu, nilidhani ni mwana CCM makini.
View attachment 3232315
Yule fisadi wa Msoga mwenyewe alibabaika akashindwa ; mwanaume mzima tena babu akashindwa kusema kuwa utaratibu ulikiukwa!!Uko sahihi maana wanaccm halisi ni makondoo watupu hawana uthubutu wa kuhoji lolote. Hata mimi nimeshangaa hizo maiti hai za ccm zimeamka lini na kuanza kuhoji?
Mkuu uongo kwamba Wasira hakuwahi kuhamia NCCR au ???Taarifa za uongo hizi
Mkuu unauliza zezeta maswali ya msingi? Hawa ni wapumbavu wanaokula matapishi Yao kwa kuwalamba makalio viongozi wasiowafahamu hata kidogo! Ni watu hatari sana Kwa mustakabali wa taifa Kwa sababu huamua Kwa makusudi kupindisha jambo ambalo Lina common good Kwa jamii!! Na ukweli wanajua kabisa kuwa wanapotosha au wanaharibu kikubwa ni maslahi yao tu na ego zao ziwe satisfied.Mkuu uongo kwamba Wasira hakuwahi kuhamia NCCR au ???
Kumbe tulikuwa tunahangaishwa na majitu ya hovyo hovyo tu, nilidhani ni mwana CCM makini.
View attachment 3232315
Hampendi changamoto kwakuwa nyie ni dhaifu sanaKumbe tulikuwa tunahangaishwa na majitu ya hovyo hovyo tu, nilidhani ni mwana CCM makini.
View attachment 3232315
Chawa bwana....Taarifa za uongo hizi
Wasira alikuwa TANU, automatically akawa CCM, NCCR-MAGEUZI alienda kwa kazi maalum kwa muda mfupi na akarudi NYUMBANI CCM. Wasira ni miongoni mwa waanzilishi wa CCM acheni kupotosha.Wewe ni mtoto
Wasira alishawah kuwa nccr mageuzi leo ni makamu mwenyekiti wa ccm
Kuwa mwanachama wa chama kingine na k8sha kuhamia CCM hahalalishi yeye kutokupnga maamuzi ya ovyoKumbe tulikuwa tunahangaishwa na majitu ya hovyo hovyo tu, nilidhani ni mwana CCM makini.
View attachment 3232315
CCK ilianzishwa kwa mbwembwe sijui ilifia wapiMuulize Nape et al kwa maana ndio muasisi wa CCK. Kumbuka makamo wa mwenyekiti wako taifa Steven Wasira aka Tyson alikuaga mwana NCCR kindaki ndaki.
Ni hayo tu.
Hiyo ya kazi maalumu umesema wewe ila ni alishakuwa mwanachama wa nccr mageuziWasira alikuwa TANU, automatically akawa CCM, NCCR-MAGEUZI alienda kwa kazi maalum kwa muda mfupi na akarudi NYUMBANI CCM. Wasira ni miongoni mwa waanzilishi wa CCM acheni kupotosha.