GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Nilifikiri utaishia Dar Es Salaam na Mwanza. Lakini imekuwa tofauti na nilivyofikiri.
Nikiwa natokea mkoa fulani, leo saa nne Asubuhi, nimepitia Kariakoo Katoro mkoani Geita kwa lengo la kununua vifaa fulani. Sijafanikiwa. Maduka yote yamefungwa. Hiyo ni wazi kuwa nao wamegoma.
Hali haipaswi kuwa hivi. Wengi wanaathirika, ikiwa ni pamoja na Serikali kukosa mapato.
Wahusika wachukue hatua za haraka kungali mapema. Vinginevyo, mgomo unaweza ukaenea nchi nzima.
Nikiwa natokea mkoa fulani, leo saa nne Asubuhi, nimepitia Kariakoo Katoro mkoani Geita kwa lengo la kununua vifaa fulani. Sijafanikiwa. Maduka yote yamefungwa. Hiyo ni wazi kuwa nao wamegoma.
Hali haipaswi kuwa hivi. Wengi wanaathirika, ikiwa ni pamoja na Serikali kukosa mapato.
Wahusika wachukue hatua za haraka kungali mapema. Vinginevyo, mgomo unaweza ukaenea nchi nzima.