Hahaha huyu nae school boy anataka ligi...we mzuri?
Ha ha ha ha chezeiya mambo ya maloveee nini wewe kwake ni baby mama malaika wake, usingizi wake, si mchezo.
Ninachosikitika ataaribu watoto tu... Maana mungu nae fundi anaweza kutoa copy n paste kwa mama
Haya basi kila la kheri ila ile sura ya Lotus....
Mhhhhh Mungu anisamehe tu.
Na anavojiwekaga sasa Mara viduku rasta zenye marangi ya ajabu mi huwa simuelewi style yake ya nywele na mavazi.
Haya basi kila la kheri ila ile sura ya Lotus....
Mhhhhh Mungu anisamehe tu.
dah, hapa zambi umeichukua
mademu wa jf sura kama wanapuliza moto
ila kwa kuponda wenzao namba moja!!
Ushawahi kuwaona mademu wa jf?
Haya basi kila la kheri ila ile sura ya Lotus....
Mhhhhh Mungu anisamehe tu.
Anafanana na Shabaranks
Anafanana na Shabaranks
Ha ha ha mimi napendaga zile nywele zake akizifuga nzuriiii.Huo mwanya ni shiidah mazee.
Halafu eti naye ni fashionista sijawahi kumuona akivaa nguo ya maana zaidi ya yale matambala yake sijui ananunuaga mtumbani hata sielewi!
mademu wa jf sura kama wanapuliza moto
ila kwa kuponda wenzao namba moja!!