Kumbe Miquissone anacheza kama beki Al Ahly

Kumbe Miquissone anacheza kama beki Al Ahly

Maisha yapo kasi sana, hana Al Ahly alikuwa na mechi na akashinda 4 mchezaji Luis Miquissone akachezeshwa kama beki. Sijapenda hata kidogo, waarabu wabaguzi sana

View attachment 2059399
daah.! Sasa naelewa kwanini chama kaamua kurudi ligi ya bongo hahahah wale watu co powa unaweza jikuta unasugua benchi ilihali huku uhakika wa kupata namba upo.
 
Nakumbuka ile mechi ya Simba na A.S Vita, kule Congo, alifanya kazi kubwa ya kumzuia Djuma ambaye kwa sasa yupo Yanga. Shabalala alimshindwa kabisa
Pia, tukumbuke, pale MANUTD, Valencia na Ashley Young walibadilishwa, badala ya ushambuliaji, wakawa walinzi.

Gyan akipiga kross baada ya kupokea kona fupi kama full back wa kulia na ikatua kichwani kwa Kagere akaiandikia Simba goli la pili dhidi ya Nkana

1640637317538.png
 
Sasa kama ni hivyo ilibidi awe wing back na siyo central back, unless kama kocha alihitaji mchezaji mwenye speed kucover gape la CB.
Hafuatilii. Kocha wa Al alhly ni Mwafrika Kusini, na anamfahamu vizuri Luis kwani walishakuwa naye kwenye ligi ya Afrika Kusini. Na itakuwa kocha ndiye alimpendekeza Luis asajiliwe Al ahly.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Kocha huyo amemsajili luis mara mbili. Ndie alimsajili luis mamelodi. Wakati yeye ndie kocha wa mamelodi. Na al ahly amemsajili luis tena
 
Watu wanachukulia vitu simple sana kwani utopolo mshawahi kutoa mchezaji gani wa maana nje ya nchi,

al ahly ni kama unavyoona real Madrid au bayern Munich huwezi kwenda tu ukapata namba kirahisi.
 
Waarabu hawamtaki wanadai kiwango chake ni kidogo
 
Waarabu hawamtaki wanadai kiwango chake ni kidogo
Mashabiki wa Al ahly awaoni umuhimu wa Merquisone ila kocha ndo anamkumbatia.
Kama vipi dogo asepe waarabu sio watu watamsomea albadiri wamshushe mshipa.
 
Hii yote kasababisha mudi na tamaa zake
Maskini mmakonde wa watu anachezeshwa beki dah
 
Sasa hapo ubaguzi upo wapi kumuweka benchi ama kumpa namba uwanjani?
 
Watu wanachukulia vitu simple sana kwani utopolo mshawahi kutoa mchezaji gani wa maana nje ya nchi,

al ahly ni kama unavyoona real Madrid au bayern Munich huwezi kwenda tu ukapata namba kirahisi.
Tatizo mnakaririshwa na hao kaka zenu(madogo),kuna kiumbe kama Nonda Shaban Papii aliyetesa Ulaya?kwa taarifa yako alitokea Jangwani😂😂
 
Back
Top Bottom