Kumbe mkulima alishawahi kuwafunga mabingwa wote wa playok kwenye draft

Kumbe mkulima alishawahi kuwafunga mabingwa wote wa playok kwenye draft

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Kwa wachezaji wa Draft la playok, Tunajua mabingwa wa kule ni ashkelon, Davidmbeya, kongomsumari, na mohammed19997, ila cha ajabu wote hao walishapigwa na mkulima wakaishia kumuita mkulima ni software 😅😂

Nimeangalia statistics za mkulima kule playok

Ashkelon alipigwa 2 bila na mkulima
Mohamed1997 alipigwa 3-1 na mkulima
Davidmbeya alipigwa 7-1 na mkulima
Kongomsumari alipigwa 1-0 na mkulima

Wachezaji hao juu waliopigwa na Mkulima nina imani wanajua copy zote za draft, pasati, mabano mixer, samba, pandu, tege, Kavimba, Jinsi ya kuzichezea na jinsi ya kutoa sare au kushinda wakichezewa Hovyo sasa kwenye draft Hawa mabingwa wanazidiwa wapi hadi wote wanapigwa na mtu mmoja?
 
Uwezo wao umeishia hapo walipo ila mkulima kiboko yao
 
Kwa wachezaji wa Draft la playok, Tunajua mabingwa wa kule ni ashkelon, Davidmbeya, kongomsumari, na mohammed19997, ila cha ajabu wote hao walishapigwa na mkulima wakaishia kumuita mkulima ni software [emoji28][emoji23]

Nimeangalia statistics za mkulima kule playok

Ashkelon alipigwa 2 bila na mkulima
Mohamed1997 alipigwa 3-1 na mkulima
Davidmbeya alipigwa 7-1 na mkulima
Kongomsumari alipigwa 1-0 na mkulima

Wachezaji hao juu waliopigwa na Mkulima nina imani wanajua copy zote za draft, pasati, mabano mixer, samba, pandu, tege, Kavimba, Jinsi ya kuzichezea na jinsi ya kutoa sare au kushinda wakichezewa Hovyo sasa kwenye draft Hawa mabingwa wanazidiwa wapi hadi wote wanapigwa na mtu mmoja?
Mkulima saivi ana ngapi? Kuna mtu nilimuona ana 1800+
 
Mkulima saivi ana ngapi? Kuna mtu nilimuona ana 1800+
Mkulima sahiv ana 1590 sababu anacheza Na mtu yoyote hata na mwenye kijani au bluu, hivyo akitoa sare anakatwa point, analysts na ashkelon sahiv tangu wapate 1800 hawataki kucheza tena sijui wanazila zile point Smt016
 
Kongomsumari ni tura. ila mkulima atakuwa kweli anatumia dalmax. Hata mimi ningekuwa natumia drafti ningekuwa sishikiki.
 
Back
Top Bottom