Kumbe MO anamiliki nusu ya akiba ya Serikali

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Nimemsikia Rais Magufuli akisema serikali Ina akiba ya Dola za Kimarekani Bilioni 5 zinazoweza kuendesha nchi Kwa takriban miezi sita huku mfanyabiashara MO Dewji akimiliki utajiri wa Dola za Kimarekani Bilioni 2 kwa mujibu wa Jariba la Forbes ambao ni karibia nusu ya akiba iliyo nayo serikali!

My take : Wafanyabiashara siyo wa kubezwa maana wameshikilia sehemu kubwa ya uchumi wa nchi ,pia viongozi wetu wawe Na hekma siyo kila data ya kuweka hadharani huenda zikatumiwa vibaya Na maadui.
 
Kati ya vitu vilivyonishangaza ni kuwekwa wazi kwa akiba hiyo kiduchu ya fedha za kigeni.
 
mo hana pesa mwenye pesa ni baba yake mzee gulam mzee gulamabbas ndio mwenye metl na yeye aliiinherit kutoka kwa baba yake mohamed dewji sr ambaye ni babu yake na mohamed dewji jr dewji hana pesa yoyote kila kitu ni cha baba yake sema yeye ndio mtoto mkubwa wa kiume afu mzee wake he is getting old
 
Una sh ngapi kwenye m-pesa tuanzie hapo
 
Unajua kuwa TRA wanakusanya 1.2t kila mwezi? Hizo ni kama $0.5b.
Mo hana cash $2b hio jumla ya utajiri wake wote sio cash in the bank.
Halafu ile $5b sio foreign reserve? Au ndio akiba yote?
 
Una sh ngapi kwenye m-pesa tuanzie hapo
afu nikusaidie nchi ya kama tanzania haiwezi kuwa na hazna ndigohivyo brother ongea kama msom kaka
kingine dewji ile netwoth sio pesa kumbuka bakhresa group ndio watu wenye pesa nyingi hapa Tanzania wana networth ya 1-billions usd na hizo ni za tra tuu yaani zilizoonekana so unataka kuniambia tanzania nchi ya kumi na mbili kwa utajiri africa(GDP KUBWA) iwe na 5 billions usd you cant be serious man
angalia link hio may be utanielewa kaka
https://answersafrica.com/richest-countries-in-africa.html
 
 
Watu wasiojua uchumi wanaongelea uchumi. Ni kama kikao cha vipofu wakimuingelea tembo ambaye hawajawahi kumuona.

Hizo $5b ni cash reserve kwaajili ya kununua bidhaa nje ya nchi.
Vijama muwe mnauliza badala ya kukurupuka. Mnatuaibisha watanzania.
 
Watu wasiojua uchumi wanaongelea uchumi. Ni kama kikao cha vipofu wakimuingelea tembo ambaye hawajawahi kumuona.

Hizo $5b ni cash reserve kwaajili ya kununua bidhaa nje ya nchi.
Vijama muwe mnauliza badala ya kukurupuka. Mnatuaibisha watanzania.
Kuna sehemu umeona tumetaka kujua matumizi? Tuliza mihemko dogo
 
Sasa huyo gulam ni baba yako .. Wivu utakuua
 
Unajua utofauti wa akiba na utajiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…