Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Mzee, hapa unazingua.
Yaani tukio limetokea this week, halafu unasema demu kabadilika na kanyooka, kweli!.? Yaani umesha draw conclusion...
Be a man brother...!
NIMESEMA SINA IMANI NAE KABISA, ATA KAMA AMEKIRI LAKIN IMANI IMESHAKuWA HABA TENA.
 
Kaka pole Sana. Wanasema farasi uliyempanda hakutishi mwendo. Kwa ushauri wangu, hakuna haja ya kufanya unachotaka kukifanya,tayar una ushahidi wa kumthibitishia kuwa yeye syo wife material. Muache tuu. Mwambie yote uliyogundua kuhusu tabia zake.
 
Bulaza uko serious kweli Dah ila umejilahisisha ningekuwa mm hapo mngelamba makofi wote mana utoto kabs huo[emoji20][emoji20][emoji20]
 
Bulaza uko serious kweli Dah ila umejilahisisha ningekuwa mm hapo mngelamba makofi wote mana utoto kabs huo[emoji20][emoji20][emoji20]
Dah sasa tumekukosea nin mkuu adi utupige
 
Peleka Moto...Kuna mwana alishakuna na wa hayo Mambo Kama wa 3 wote walitoa mbususu
 
Komaa nae tu broh hakuna mwanamke wa pekee ako zama hizi alafu pia jifunze kuwa mwanamke usimfatilie sana utakuja kujiumiza
 
Komaa nae tu broh hakuna mwanamke wa pekee ako zama hizi alafu pia jifunze kuwa mwanamke usimfatilie sana utakuja kujiumiza
Amini mkuu, wanawake wengi ni jambo gumu sana kuzikimbia izo tamaa za vitu vizuri. Anatoa mbususu easily bro
 
Peleka Moto...Kuna mwana alishakuna na wa hayo Mambo Kama wa 3 wote walitoa mbususu
Dah. Yan walitoa kwa namna gan. Aliwajaribu madem wa jamaa zake au ilkuaje
 
mrejesho vipi
 
Hii SCENARIO inataka kufanana na ya mke wangu,,,,Ila wewe umezingua mwisho I,,,pia kwa PICHA hii ya Demu wako hupaswi kumsamehe,,,huyo mpaka kafik guest huyo ni malaya
 
Hii SCENARIO inataka kufanana na ya mke wangu,,,,Ila wewe umezingua mwisho I,,,pia kwa PICHA hii ya Demu wako hupaswi kumsamehe,,,huyo mpaka kafik guest huyo ni malaya
Mkeo anajiuza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…