Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Utakua mtunzi mzuri wa story za kufikirika[emoji1787][emoji1787]
Dah.!!!

Ungepitia hii situation ndio ungejua ujui.. mmeathiriwa na riwaya. Aya mambo yapo kaka na ijumaa ndio naenda kufanya ivyo.
 
Dada zetu wengi wao ni tegemez amwambie mpenzi wake ukweli ili hakose Huduma, mfano demu wako ana kupa gari pesa na zawadi nyingi Una weza kumwambia ukweli kwamba humpendi?
 
Dada zetu wengi wao ni tegemez amwambie mpenzi wake ukweli ili hakose Huduma, mfano demu wako ana kupa gari pesa na zawadi nyingi Una weza kumwambia ukweli kwamba humpendi?
Mkuu kwa namna hii UKIMWI ni ngumu sana kuuepuka, unakuwa ktk cycle ya watu zaidi ya 50 bila ya wew kujua.

Sababu dem akishakuwa na mabwana wawili au watatu wa nje basi ujue cycle yako ni kubwa kinoma bro. Hao mabwana wana madem zao wengine na hao wengine wanawatu wao wengine kwaiyo inaenda ivyo ivyo. UKIMWI ukiingia tu kwa iyo cycle bas jua mtanusurika wachache wenye kinga imara pekee wengi mnakwenda
 

Tukuombee nini sass

We Kama umeamua kufanya tukio we Fanya tu
 
Ahaaahaaahaa...hii chai ni ya moto imeunguza hadi koo

Nyuzi zimekuwa nyingi hizi sijui sababu ni nini[emoji848]
 
Ahaaahaaahaa...hii chai ni ya moto imeunguza hadi koo

Nyuzi zimekuwa nyingi hizi sijui sababu ni nini[emoji848]
Bro zile nyuzi zimetusababisha tuzifanyie majaribio alaf kitu inanasa mulemule. Wadada mnanini lakin
 
Nadhan wanadhan wakileta hizi nyuzi ndo wanapata attention,likes,na comments
Bidada aya ni maisha tunayoyapitia waswazi uku, wew wa mboga kadhaa ni ngumu sana kuyapitia.. aya maisha yapo na mim ndio nayapitia, na ijumaa ndio siku ya tukio.

Sio kila jambo la kutunga, ni ukwel 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…