Kumbe muonekano wa nje unaweza usisadifu yaliyomo ndani

neno "unanuka" halisound politely.
Angetafta njia nzur zaid ya kumwambia na kumsaidia apone ilo tatzo
Au angemwambia anatoa harufu mbaya? Pamoja na hayo yote huyo jamaa ni mshamba tu, ningekuwa mie ningesitisha game na kwenda duka la vipodozi kununua perfume & air freshness kisha ningempulizia demu na kumpa somo kisha gemu linaendelea.
 
Au angemwambia anatoa harufu mbaya? Pamoja na hayo yote huyo jamaa ni mshamba tu, ningekuwa mie ningesitisha game na kwenda duka la vipodozi kununua perfume & air freshness kisha ningempulizia demu na kumpa somo kisha gemu linaendelea.
shida hio harufu inatoka ndan ya mwili sio nje. Sasa hio perfume ungepuliza ndan ya k?
 
shida hio harufu inatoka ndan ya mwili sio nje. Sasa hio perfume ungepuliza ndan ya k?
Hili swala mara nyingi ni la kurithi ......pana koo flani unakuta wana vikwapa vikali na jasho linalotoa harufu kali sio wanaume sio wanawake
Pia linaweza kuwa ugonjwa kwaio ni case mbili tofauti na hili la kisamaki toka ukeni hilo ni tatizo la kiafya hakuna kurithi hapo mtu husika anatakiwa kuchukuliwa ute wa juu wa uke (sampuli) na kwenda kupanda kwenye media maabara za mikrobiolojia na wadudu wakishapatikana watapatiwa dawa specific ambayo itaweza kuwaangamiza kabisa na ilo tatizo litaisha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenzio wakiona tumbo ndio stimu zinaongezeka, wewe unaogopa.
 
Umejitahidi mimi mjeuri na mjivuni sipigi shoo inayonuka kadava, mdomo, na kwapa, naghaili tena kibabe kbsa nasema tu leo kuna kitu hakiko sawa akiuliza namwambia tutachati kwa meseji. Ndio imetoka hio Usafi wa ndani ndio nguzo chadema ni msingi pia.
 
neno "unanuka" halisound politely.
Angetafta njia nzur zaid ya kumwambia na kumsaidia apone ilo tatzo
Au angemwambia anatoa harufu mbaya? Pamoja na hayo yote huyo jamaa ni mshamba tu, ningekuwa mie ningesitisha game na kwenda duka la vipodozi kununua perfume & air freshness kisha ningempulizia demu na kumpa somo kisha gemu linaendelea
shida hio harufu inatoka ndan ya mwili sio nje. Sasa hio perfume ungepuliza ndan ya k?
Mie sio mtaalam wa kukabiliana na hizo kitu (harufu) japo nahisi hazina fofauti sana na kikwapa so I believe that kuna manukato ya kuweka ktk papuchi ili kukabili harufu mbaya, na kama hayapo maana yake harufu sio tatizo ndio maana wataalam hawazalishi deodorants za kwenye papuchi so body spray itatosha kupulizia kwenye kwapa na sehemu nyinginezo za nje ya mwili.

Ila ukae ukijua kuwa pengine hiyo harufu ndio utamu wenyewe so hakuna kukimbia 😍
 
harufu halis ya K ipo ila sio kama hiyo shombo la samaki ata wao wanajua
 
Safi sana mkuu, suala la kuchepuka ni kuyavaa madudu tu baadae majuto
 
Ndio mkae mtulie na wake zenu. Sijaona mtu alieoa akilalamika mkewe ana matatizo hayo.
 
Ndio mkae mtulie na wake zenu. Sijaona mtu alieoa akilalamika mkewe ana matatizo hayo.
mwanaume anaye jitambua hawezi anika madhaifu ya mkewe hadharani, ataishia kuumia tu ama kumtaftia matibabu.
So hawa wanaosemwa hum sio wake ila ingekuwa ilo tatizo analo mkewe angedeal nalo kimya kimya
 
Brother hizi mambo wew acha jana nimetumia 120k akili ilipo kaa sawa nimejuta sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenzio wakiona tumbo ndio stimu zinaongezeka, wewe unaogopa.
Mm nikiona tumbo nyege zote huwa znakata, kati ya vtu cpendi n mwanamke mwenye gutumbo yaan huwa nahs kichef chefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…