Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Msikilize hapa aliyewahi kuwa Waziri wa ardhi JMT
Ni kwamba watu weusi hatukujifunza kabisa kuwa ukoloni, utumwa na kutawaliana kimabavu kuwa ni kitu kibaya.
Kumbe wazungu na waarabu walikuwa sahihi sana kututawala kimabavu na kutukamata watumwa na kuuza sokoni kama mbuzi sasa nimeelewa kuwa hawakuwa na kosa moyo wangu sasa ni mweupe juu yao wazungu na waarabu walikuwa sahihi sana kufanyia Babu na Bibi zetu kile walichofanya.
Ni kwamba watu weusi hatukujifunza kabisa kuwa ukoloni, utumwa na kutawaliana kimabavu kuwa ni kitu kibaya.
Kumbe wazungu na waarabu walikuwa sahihi sana kututawala kimabavu na kutukamata watumwa na kuuza sokoni kama mbuzi sasa nimeelewa kuwa hawakuwa na kosa moyo wangu sasa ni mweupe juu yao wazungu na waarabu walikuwa sahihi sana kufanyia Babu na Bibi zetu kile walichofanya.