micky massawe
Member
- Jan 30, 2014
- 29
- 4
Ndugu zangu walimu wa Subira wenzangu taarifa ya naibu waziri Jenista kama ilikua ya ukwel japo wengi tuliipinga ..kwa Mujibu wa gazeti la Leo la Uhuru ni kwamba serikali ishakamilisha kila kitu na majina na vituo vya kazi vitatangazwa mwezi ujao.ila kuripoti ni kuanzia tarh 1 April.
Hebu tuivutie Subira walimu wenzangu tuone itakuaje tena....
Hebu tuivutie Subira walimu wenzangu tuone itakuaje tena....