Pre GE2025 Kumbe Nape na Makamba ni trailer tu, lengo hasa ni waleee!

Pre GE2025 Kumbe Nape na Makamba ni trailer tu, lengo hasa ni waleee!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ili umpe kipigo cha mbwa koko mtoto wa kambo pasipo lawama, basi anza kwa kumfinya mwanao wa kumzaa. Anapoanza kulia mtoto pendwa ndipo unanza kushusha kipondo cha kuvunja mikono kwa mtoto wa kambo.

Majirani wanaotazama kinachoendelea watajua unagawa adhabu kwa wote bila upendeleo, lkn kumbe umedhamiria kumtia ulemavu mtoto wa kambo.

Nape na Makamba wamefinywa tu, ili sasa watoto wa kambo (wale wa kanda ilee) waanze kushughulikiwa ipasavyo, na hakuna atakayestukia. Itaonekana ni mpango wa kawaida wa mama.

Inadaiwa watoto hawa hawaishi lawama, wanadai wanabaguliwa, wanafanya mipango hatarishi ya kuandaa mtu wao wa kumtoa mama ndani ya nyumba. Mama kaona ili kushughulika nao pasipo lawama, acha awafinye wanaye wa kuzaa, waanze kulia ndipo awageukie watoto wa kambo.

Ndiyo maana tetesi zinasema haya yaliyofanyika ni tone tu la mabadiliko makubwa yanayokuja. Watoto wa kambo wajiandaye kisaikolojia.
Kuna mtu nimetoka kumwambia jana, hawa CCM ni akili nyingi... Kuna jambo... Na si hili tu kuna mengine mengi tu... Watu wamekaa vikao na kukubaliana nn wafanye na ni kwa lengo gani ili wapate matokeo wanayotaka
 
Kuna nimetoka kumwambia jana, hawa CCM ni akili nyingi... Kuna jambo... Na si hili tu kuna mengine mengi tu... Watu wamekaa vikao na kukubaliana nn wafanye na ni kwa lengo gani ili wapate matokeo wanayotaka
Hata Lowassa alivyowekwa pembeni na Kikwete watu walidhani utani, siasa hazina permanent friend or enemy just interest na usifanye mchezo na power za raisi na nguvu ya chama, hii CCM walikuwepo waasisi kina Nyerere na wameiacha, walikuwepo kina Mrema na wamekiacha chama kinadunda.

CCM ni taasisi imara sana yenye mizizi hadi kwenye shina huko kijijini kwenu na ina ombwe la vijana na wazee wenye uwezo mkubwa sana kuongoza nchi na kushinda uchaguzi.

Nape na Makamba ni watu wadogo sana kwenye chama, CCM haiwezi kutetereka kwa kutoka kwao, ila wao ndio watakaoteseka, wanasiasa hawawezi kufanya chochote bila ya cheo, hata kuuza pipi hawawezi, ndio maana uliona Nape ilibidi ajishushe kwa JPM ili aendelee kuishi.
 
Hata Lowassa alivyowekwa pembeni na Kikwete watu walidhani utani, siasa hazina permanent friend or enemy just interest na usifanye mchezo na power za raisi na nguvu ya chama, hii CCM walikuwepo waasisi kina Nyerere na wameiacha, walikuwepo kina Mrema na wamekiacha chama kinadunda.

CCM ni taasisi imara sana yenye mizizi hadi kwenye shina huko kijijini kwenu na ina ombwe la vijana na wazee wenye uwezo mkubwa sana kuongoza nchi na kushinda uchaguzi.

Nape na Makamba ni watu wadogo sana kwenye chama, CCM haiwezi kutetereka kwa kutoka kwao, ila wao ndio watakaoteseka, wanasiasa hawawezi kufanya chochote bila ya cheo, hata kuuza pipi hawawezi, ndio maana uliona Nape ilibidi ajishushe kwa JPM ili aendelee kuishi.
Sawa... Hongera kwakujua kuwa nipo huku kijijini kwetu... Sina kumbukumbu kama lowasa alifariki akiwa ndani ama nje ya CCM.. utanisaidia kujua hilo

BTW Tanzania hatupo kwenye mfumo wa vyama vingi
 
Ili umpe kipigo cha mbwa koko mtoto wa kambo pasipo lawama, basi anza kwa kumfinya mwanao wa kumzaa. Anapoanza kulia mtoto pendwa ndipo unanza kushusha kipondo cha kuvunja mikono kwa mtoto wa kambo.

Majirani wanaotazama kinachoendelea watajua unagawa adhabu kwa wote bila upendeleo, lkn kumbe umedhamiria kumtia ulemavu mtoto wa kambo.

Nape na Makamba wamefinywa tu, ili sasa watoto wa kambo (wale wa kanda ilee) waanze kushughulikiwa ipasavyo, na hakuna atakayestukia. Itaonekana ni mpango wa kawaida wa mama.

Inadaiwa watoto hawa hawaishi lawama, wanadai wanabaguliwa, wanafanya mipango hatarishi ya kuandaa mtu wao wa kumtoa mama ndani ya nyumba. Mama kaona ili kushughulika nao pasipo lawama, acha awafinye wanaye wa kuzaa, waanze kulia ndipo awageukie watoto wa kambo.

Ndiyo maana tetesi zinasema haya yaliyofanyika ni tone tu la mabadiliko makubwa yanayokuja. Watoto wa kambo wajiandaye kisaikolojia.
Watoto wa kambo hawamp kabisa kwenye inner circle ya Dkt Samia alishawaondoa tangu alipochukua madaraka. Ni wao kwa wao walibaki ndiyo maana unaona hakuna walichokifanya zaidi ya kupandisha gharama za maisha na kuishia kumtukana na kumdhalilisha Dkt Samia.
 
Sawa... Hongera kwakujua kuwa nipo huku kijijini kwetu... Sina kumbukumbu kama lowasa alifariki akiwa ndani ama nje ya CCM.. utanisaidia kujua hilo

BTW Tanzania hatupo kwenye mfumo wa vyama vingi
point yangu ni kwamba lowasa alitoka ccm na ccm ilibaki vile vile tu ila yeye ndio aliopotea hadi kuamua kurudi ccm, yeye ndio aliyekuwa anaihitaji ccm kuliko ccm ilivyokuwa inamuhitaji yeye
 
Huu nao ni uchonganishi tu, Nape na Makamba kuna kipi kikubwa walichofanya kwenye sekta zao ambacho wananchi wanaweza kusikitikia kuondolewa kwao.
Nchi hii tangu awali teuzi huwa za kikanda hivyo siyo rahisi sana kuondoa viongozi wote wa kanda hiyo labda kubadilisha tu.
 
Aassh kumbe lengo lake ni kusafisha Sukuma Gang! Sasa nimeanza kumuelewa Chifu Hangaya.
Sukuma Gang siyo wa mchezo mchezo wewe!! Kazi wameshaimaliza sasa wanapapasapapasa tu "Wazuri Hawafi" wako hoi bin taabani. Chezea Sukuma Gang wewe!! 🤣🤣
 
Watoto WA mama wa kambo mbona amebaki Kashimuu, Masha na mnyetishaji sa Kuna nani mwingine zaidi si alishawafyekelea kizimkazi zamani sana....!
 
Sukuma Gang siyo wa mchezo mchezo wewe!! Kazi wameshaimaliza sasa wanapapasapapasa tu "Wazuri Hawafi" wako hoi bin taabani. Chezea Sukuma Gang wewe!! 🤣🤣
Muulize Ndugai atakupa majibu sahihi alivyoondolewa uspika huku anautaka.

Unaandikiwa barua ya kujiuzuru huku umewekewa beretta kichwani usaini.
 
Ili umpe kipigo cha mbwa koko mtoto wa kambo pasipo lawama, basi anza kwa kumfinya mwanao wa kumzaa. Anapoanza kulia mtoto pendwa ndipo unanza kushusha kipondo cha kuvunja mikono kwa mtoto wa kambo.

Majirani wanaotazama kinachoendelea watajua unagawa adhabu kwa wote bila upendeleo, lkn kumbe umedhamiria kumtia ulemavu mtoto wa kambo.

Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Nape na Makamba wamefinywa tu, ili sasa watoto wa kambo (wale wa kanda ilee) waanze kushughulikiwa ipasavyo, na hakuna atakayestukia. Itaonekana ni mpango wa kawaida wa mama.

Inadaiwa watoto hawa hawaishi lawama, wanadai wanabaguliwa, wanafanya mipango hatarishi ya kuandaa mtu wao wa kumtoa mama ndani ya nyumba. Mama kaona ili kushughulika nao pasipo lawama, acha awafinye wanaye wa kuzaa, waanze kulia ndipo awageukie watoto wa kambo.

Ndiyo maana tetesi zinasema haya yaliyofanyika ni tone tu la mabadiliko makubwa yanayokuja. Watoto wa kambo wajiandaye kisaikolojia.
Watoto wa mjini mmepigwa kitu cha suprise
 
Hii ni Kweli,

Atawaona wote karibu yake ni wasaliti,

Baada ya hapo ataangalia na kukuta Yuko pekeake, too late.

HATOGOMBEA!!
 
Ili umpe kipigo cha mbwa koko mtoto wa kambo pasipo lawama, basi anza kwa kumfinya mwanao wa kumzaa. Anapoanza kulia mtoto pendwa ndipo unanza kushusha kipondo cha kuvunja mikono kwa mtoto wa kambo.

Majirani wanaotazama kinachoendelea watajua unagawa adhabu kwa wote bila upendeleo, lkn kumbe umedhamiria kumtia ulemavu mtoto wa kambo.

Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Nape na Makamba wamefinywa tu, ili sasa watoto wa kambo (wale wa kanda ilee) waanze kushughulikiwa ipasavyo, na hakuna atakayestukia. Itaonekana ni mpango wa kawaida wa mama.

Inadaiwa watoto hawa hawaishi lawama, wanadai wanabaguliwa, wanafanya mipango hatarishi ya kuandaa mtu wao wa kumtoa mama ndani ya nyumba. Mama kaona ili kushughulika nao pasipo lawama, acha awafinye wanaye wa kuzaa, waanze kulia ndipo awageukie watoto wa kambo.

Ndiyo maana tetesi zinasema haya yaliyofanyika ni tone tu la mabadiliko makubwa yanayokuja. Watoto wa kambo wajiandaye kisaikolojia.
Angefukuza barazani Zima kuanzia Pm na watu wake
 
Watoto wa kambo hawamp kabisa kwenye inner circle ya Dkt Samia alishawaondoa tangu alipochukua madaraka. Ni wao kwa wao walibaki ndiyo maana unaona hakuna walichokifanya zaidi ya kupandisha gharama za maisha na kuishia kumtukana na kumdhalilisha Dkt Samia.
🚮🚮🚮
 
Mleta mada ni chawa la Nape na Makamba!
Pole sana dada usiumie sana au wewe ndio Mwamvita marope?

Sukuma gang iko pale pale pamoja na kelele zako. Chura kiziwi kaona hawezi ishi bila sukuma gang ndio maana kawapiga chini hao viroboto wako
 
Back
Top Bottom