Kumbe naweza tengeneza 1M kwa masaa machache tu!

Kumbe naweza tengeneza 1M kwa masaa machache tu!

ss hv hakuna uhitaji wa hivyo wa popocorn..machine zimekuwa nyingi biashara ikafa..ukiuza za 5000 kwa siku ww umeuza mnooo
Aise mkuu..kweli yani hii biashara imekuwa ngumu...mi ndio hustle nimeipiga nikidunduliza mpaka nikapata ada ya chuo..ila kwa sasa..kiukweli hazitoki kivile...njia panda sasa...
 
Field ni tofauti sana na kwenye pepa.
Uhalisia utakupa majibu sahihi.
Kila la kheri. Usishangae ukaanza kuzila mwenyewe tu.
 
Aise mkuu..kweli yani hii biashara imekuwa ngumu...mi ndio hustle nimeipiga nikidunduliza mpaka nikapata ada ya chuo..ila kwa sasa..kiukweli hazitoki kivile...njia panda sasa...


Hakuna kitu..yaan biora ununue matunda ukae golini uuze na kukata kata
 
Habari za mchana wanakubwa zangu leo nimekuja na swali tena,
.
.
.
Nimepata wazo lakutengeneza pop corne ya vannila,ni biashara ambayo anaifanya rafiki yangu lakini yeye center huko Town..
.
.
.
.
Pia yeye anatumia mashine ya umeme, nikaonelea kwasababu huku street hakuna anaefahamu product hii basi nifanye kama kuwa suprise watu, lakini mimi nitaweka katika mfumo tofauti kidogo,
.
.
.
Nitatumia sufuria kupasua mahindi yangu halafu nitayeyusha vannila powder yangu kwa sufuria hio hio..
.
.
.
Hapo kwenye kifungashio sasa nitatumia mifuko ya plastic kufanya packaging,..nitaanza kusambaza madukani wakati huo nikiuza kwa bei ya jumla kila pakage moja nitauza sh/80 ili muuzaji auze kwa sh/100.
.
.
.
Kazi itakayobaki ni kutafuta masoko yakusambaza product tu!
Je kwakufanya hivyo nakosea wapi jamani au bado nimeiba ideas ya watu nimefanya dhambi ndugu zangu.
Sema kwa hii mishe mpaka utoboe million si mchezo!!
 
Back
Top Bottom