Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mbona Makonda kasifiwa alikichemsha chama?!Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Kwa sababu wote ni watoto wa mjini na Makonda ni mlugalugaNamuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Moja point kubwa sana.Nitaomba kuitumia post yako siku za usoni.Nchimbi ana akili timamu makonda punguani
Hataonekana Arusha mei mosi sikukuu ya wafanyakazi??Nchimbi hawezi kuongozana na vichaa
Mzee na kijana wapi na wapi?Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Kule ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.Mbona Makonda kasifiwa alikichemsha chama?!
Nchimbi alimuogomba Makonda kuwa ata, mu outshine. Makonda ana mvuto wa watu. Anapendwa kuliko hao wazee , ambao hawana, mvuto. Mambo ni ya kisasa sio ya, kina nchimbi na Makalla hata kuongea tu shida.Nchimbi aligoma kuambatana kwenye ziara ya makonda? Au makonda ndio alitakiwa awe kwenye ziara ya Nchimbi.
Kuna mahali nimesoma ambapo mwandishi ameomba kutajiwa angalao kero tano ambazo Makonda alizipatia ufumbuzi alipokuwa Mwenezi. Jibu halijatolewa. Je, yupo mwenye jibu?, atutajie.Mzee na kijana wapi na wapi?
Kwanza Nchimbi alikuw haonekani, wananchi walikuwa wanaitaka sautiya Makonda!
Kwanza tuambie ili tujue kama unachoandika kina ukweli. Wakati Makonda akiwa Katibu mwenezi, Nchimbi alikuwa nani ili aambatae na Makonda?Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Mvuto upi? Au anaringia tako?Nchimbi alimuogomba Makonda kuwa ata, mu outshine. Makonda ana mvuto wa watu. Anapendwa kuliko hao wazee , ambao hawana, mvuto. Mambo ni ya kisasa sio ya, kina nchimbi na Makalla hata kuongea tu shida.
Je mwenezi anaeongea kama kajaza mate mdomoniDr. Nchimbi tulikuwa tunamu-overrate sana!