Kumbe ndio maana hamuolewi!!!

Na hivi vimisemo navyo huchangia sana.... Mara ndoa ndoana..................Mara mdoa msalaba...............Mara mbingu za maisha.............. mara ndoa kuvumiliana wakati hicho cha kuvumiliwa hakitajwi ila huwa kinasemwa kijumla...shida.........
 
Kuna msemo mmoja wa Waingereza usemao......."Ya nini ufuge ng'ombe wakati maziwa yanapatikana tu kiurahisi?"
 
kuoa ni wito wanaume wenyewe huo wito hawana
Tatizo lenu mpaka mdanganywe......... We mimi nataka ngono ya leo au kesho...nikija straight kwamba nataka kwa muda tu.... sipati kitu unadhani nitakwambia nini wakati najuwa ukitajiwa kuolewa unaachia mzigo..?? Na lingine ni kuwa waowaji tukija straight bila chenga kukueleza kuwa nataka nikuowe huwa mnatuona wazugaji..............sasa tufanyeje..??
 

Ngoja ninywe chai nikirudi hapa nakupa fact za akili za wanaume wa kisasa ni zaiidi ya UHARO wa KIPINDUPINDU. Stay tuned!
 
Hapo kwenye BOLD ............. Watoto wa nje walikuwepo sana tuuuu na ndiyo maana ikatafutwa namna ya kuhalalishwa hali hiyo.......... KITANDA HAKIZAI HARAMU............. Tehe.tehe.teeeeeeeee
 
Duh!Mawe yamempata ndege mahali pake haswaa!
 
Mtambuzi siye hatuko hivyo, unatusingizia tu bure.
 
hili neno mkuu
tatizo upande wa pili wanapenda kuambiwa wananachotaka kusikia
 
Kimpango wangu naliona hili kama ifuatavyo:-

1. it seems ni kweli idadi ya wasichana waliotayari kuolewa ni kubwa kuliko ya wavulana,ukichunguza kwa makini wasichana wa miongo hii wanawahi sana kukua kuliko wavulana na hili limesababisha ya kwamba muda ukifika wa kuji-ndoa msichana akimpata mvulana (bf) faster anawahisha mimba ili iwe gear ya kuforce ndoa ndio maana wanandoa wengi wana mtoto tayari wakiwa harusini.

2. Kuna hii idea ya kula shule mpaka basi nayo imekuwa noma kwa upande wa wasichana,vile marks zenu zipo chini mnasoma na kusoma na hamu juu ya kuendelea kusoma hatma yake wanakosa wenye viwango ama kukimbiwa na wanaume pale wanapo-settle kuanza maisha baada ya kumaliza shule kati ya wanaume 10 wenye real interest 3 hapo issue tena.

3.Kwa kweli tumekuwa na tabia chafu sana sana si wanaume sime times na kuwaogopesha wasichana kiasi cha kuwafanya akina dada kutokusikia habari za ndoa na kuamua kuwa na mtoto wake wa deal(bila kuolewa) na life linasogea nali-support sana hili life is too short.

4. Hali ya maisha ya wasichana iko pouwa kuliko wanaume kwa asilimia kubwa na hili linatokana na kazi,backup za ndugu jamaa na marafiki maana wanaamini binti hatakiwi kupata shida mwisho wa siku binti hutoka pouwa na anataka kutoka na mwanaume aliye pouwa hii "selection" inakuja kuwa sumu kwani kupata type hii ni issue hapa mjini na mwishowe huishia kutoka na wapita njia walio chini wakijua unashida na hawana mpango wa kutengeneza maisha nawe kwani sio class yao.

Nwkl.
 
wakuu nielewesheni, pengine sija scroll sana humu jf. hivi sredi inapowekewa nyota kwa mbele ina maanisha nini. Hata hii kamba imewekewa nyota hizo. nijulisheni jamani
 
pole shem wangu ashad.... Naona kimeumana

Umepotea kiaina Shem, ingepita 2 more days ilikua nikutafte bana sio kawa... Yameumana bana Mtambuzi katushadadia mno.

Ahsante Da AshaDii kwa angalizo, ushauri wako nimeupokea tena kwa mikono miwili..........................

Afadhali bana, naomba ujitahidi uwe unabalance kidogo pande zoote...

hujambo Asha?
Wala usikonde,naandaa uzi ...title...'Mianaume ndivyo tulivyo'...stay tuned!

B' Mie mzima wa afya kabisa... Lete hio topic bana, tuwaponde roho zetu zifurahi....lol... (hata kama twawahitaji...



Auntie mie sina tabia ya kutongoza kabisa... ila tu ninatabia nikimpenda nahakikisha kanifaham, asipovutiwa namimi enough kunitongoza nachapa Lapa! lol (hio ilikua siku nyiiiingi kabla sijaolewa by the way )
 
When a victim is unable to defend against the monster, the only option available is to cry. Mkuu nadhani umesikia kilio chao, hamisha mashambulizi, ila ukileta huku kiumeni, inabidi ujiandae mkuu si unajua we constitute what people say a stronger sex. Unatakiwa nawe uwe strong na roho ngumu na uajsiri kama ule wa kumwagia maji ile kituuuuuuuuu!
 

Inaonyesha wewe siyo .com kivile,
lakini wewe ni mjanja,
wadogo zako siyo wajanja kama wewe,
hebu wape siri ya mafanikio yako dada.
 
Auntie mie sina tabia ya kutongoza kabisa... ila tu ninatabia nikimpenda nahakikisha kanifaham, asipovutiwa namimi enough kunitongoza nachapa Lapa! lol (hio ilikua siku nyiiiingi kabla sijaolewa by the way )

AshaDii
Double plus for this!............................nothing like a woman who isnt afraid to go after what she wants!........ in a classy way for that matter!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…