Kumbe ndio maana Watanzania wamelialia sana, kwa hili la corona na mindege ya KQ Wakenya hatujawa "fair"

Kumbe ndio maana Watanzania wamelialia sana, kwa hili la corona na mindege ya KQ Wakenya hatujawa "fair"

Duh...wakenya kweli ni janga la dunia...mtu unatumia maneno hovyo kabisa halafu unajifanya mwerevu na mjanja...kung'amua Kiswahili??!?!?!?!
Wewe zumbukuku kama hujui maana ya neno hilo basi tafuta kamusi, sio kupigapiga kelele kama mbuzi inayotaka kuzaa. Ama wacha nikusaidie. Soma hapo chini, utafahamu maana ya neno kung'amua. Angalau leo Mkenya anakufunza Kiswahili.


Swahili-english dictionary


ngamua
ngamua: translation

------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] disclose (a secret )
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] discover
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] find out
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] get to know
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] learn about
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] realize
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] unravel
[Part of Speech] verb
 
Hakuna neno kama rediculate katika kiingereza. Pengine ulimaanisha ridicule? Jikite kwenye kiswahili ambacho angalau unaking'amua kidogo.
Unajua kizungu vizuri bro?[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
 
Wewe zumbukuku kama hujui maana ya neno hilo basi tafuta kamusi, sio kupigapiga kelele kama mbuzi inayotaka kuzaa. Ama wacha nikusaidie. Soma hapo chini, utafahamu maana ya neno kung'amua. Angalau leo Mkenya anakufunza Kiswahili.


Swahili-english dictionary


ngamua
ngamua: translation

------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] disclose (a secret )
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] discover
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] find out
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] get to know
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] learn about
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] realize
[Part of Speech] verb
------------------------------------------------------------
[Swahili Word] -ng'amua
[English Word] unravel
[Part of Speech] verb
Kwanini usianze Kwanza kumwambia maneno hayo baba na mama yako mzazi kuwa ni Kama mbuzi amezaaa?!...ukishawaambia hivyo uje utuarifu humu jf majibu yao..
Na uwaambie pia "ng'amua Kiswahili'..kwa akili yao maana ya maneno kwenye kamusi unaweza kuyatumia utakavyo...duh...ng'amua Kiswahili'..
 
Kwanini usianze Kwanza kumwambia maneno hayo baba na mama yako mzazi kuwa ni Kama mbuzi amezaaa?!...ukishawaambia hivyo uje utuarifu humu jf majibu yao..
Na uwaambie pia "ng'amua Kiswahili'..kwa akili yao maana ya maneno kwenye kamusi unaweza kuyatumia utakavyo...duh...ng'amua Kiswahili'..
Wewe umesoma kamusi niliyokuwekea? Kamusi hiyo pia imeandikwa kwa kiingereza ikiwa hiyo ndio lugha unayofahamu.
 
Wewe umesoma kamusi niliyokuwekea? Kamusi hiyo pia imeandikwa kwa kiingereza ikiwa hiyo ndio lugha unayofahamu.
[/QUOTE
Naona Sasa umeamua kutumia lugha nzuri kwenye mjadala...Hilo ni Jambo zuri na la heshima kwako...lakini usisahau kuwauliza wazazi wako kuhusu ushauri wangu ule kuhusu maneno Yale uliyokuwa umeyaweka humu awali....Sina haja ya kuangalia kamusi...Kiswahili ndiyo lugha ya taifa hili zuri la Tanzania...the blessed nation...Kiswahili tunakua nacho...we breath in it...huwezi kumsikia Mtanzania anasema 'ameng'amua Kiswahili'...yaani hata yule ambaye haujui mlango wa darasa hawezi kusema hivyo...yaani hata yule ambaye hajasoma hawezi kusema hivyo...huwezi mtu ukachukua maana ya maneno kwenye kamusi na kuyatumia utakavyo...
 
Binafsi nimegundua. Kenya wamefanya ivyo ili wawashinijize wazungu watoe mpunga wa covid 19
sasa mwenye faida ni nani na mwenye hasara ni nani. kuwa mjanja sometimes acha kulalia masikio
 
sasa mwenye faida ni nani na mwenye hasara ni nani. kuwa mjanja sometimes acha kulalia masikio
😆😆😆 Dah nimecheka maana nimeangalia nikichoandika awali sijaona kama ilikuwa na ukakasi

Ila anyways sijui ww ulifikiria vipi mkuu. OVER
 
Back
Top Bottom