Landcruiser
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,805
- 599
dah bro 2chekiane kama vp 2tamit kaka naomb namb zako bro
niaje kijana
safi tyu kaka.
wat is dat fukn qn unaniuliza,
swali lako limekaa kimbea/kikekike/kinafki samahan lakini
Umeshajua kwa nini hujapata mkopo sasa?
dah bro 2chekiane kama vp 2tamit kaka naomb namb zako bro
Hv cc wa BA in economics udsm mbona majanga? mana kila mtu anasema kakosa including me.......MAJANGA.
Hv cc wa BA in economics udsm mbona majanga? mana kila mtu anasema kakosa including me.......MAJANGA.
Sema nn ungetoa ushauri basi maana hata daktari na mwalimu wote wanahudumia watu lakin katika mazngira tofauti so ucpende kujaji coz me mwenyewe nna majanga kama hayo so nilvyo uliza nilitaka kujua 2nafanyaje sasa... Nmekueshimu sana mkuu japo mawazo yako mtayafanyia kaz maana labda uwezo wako wa kufikir umeishia hapo!
Aseee hawa jamaa mikopo yao ni kama "sandakalawe,mwenyekupata apate mwenye kukosa akose"
Kuna dem yupo UDOM BA in eco. kavuta kila kitu...
Afu kuna jamaa yupo MUST mechanical,kaambulia 'not secure'....
Kiukweli Hawa jamaa ni wapuuzi sana....
You were not allocated higher
education loan for 2013/14
academic year for this
reason:ELIGIBLE FOR LOAN, BUT
BUDGET EXHAUSTED
kumbe nilitakiwa kupewa ila ela wameshagawana dah inaniuma sana....!!!
ndg pole hukujua policies za loanbod ilikuwa first to aplpy first to be treated/chosen. Wewe ulituma lin? May,june, au july? Km ulituma mwishon mwa june au mwanzon mwa july unaeza kosa mana walitoa option mapema kuomba mkopo hata kabla matokeo ya f6 kutoka.
ndg pole hukujua policies za loanbod ilikuwa first to aplpy first to be treated/chosen. Wewe ulituma lin? May,june, au july? Km ulituma mwishon mwa june au mwanzon mwa july unaeza kosa mana walitoa option mapema kuomba mkopo hata kabla matokeo ya f6 kutoka.
usijali bro tupo pamoja ni katika harakati za kueleweshana ndugu usijali bro may be 2jaribu kuapil kiukweli
Nitakujibu ukijifunza kuandika.ILA POLE PIA KWA KUKOSA MKOPO ,MUNGU YU NASI.
naungana na wewe ndg. faraji..
Kuna watu wachache humu jf, hawana ustaarabu kabisa, they're always here to post nasty notions,ilimradi tu nao waonekane....
Back to the topic....
Pole sana faraji kwa haya majanga yaliyokukuta...!!
Hivi hawa heslb wanamaanisha nini wanaposema pesa zimeeisha,alafu wanakwambia subiri nafasi za appeals zitoke...