faraji yassin
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 243
- 24
- Thread starter
-
- #41
Kaka pole sana kwa yalio kukuta lakin hautakiwi kukata tamaa kiasi hicho,si wewe tu ulie kosa mkopo, mpo wengi sana na chuo utawakuta wengi sana kama wewe, na wengine utawakuta wapo mbele ako nao wanalia kitu hicho hicho so take easy, Mimi pia yalinitokea kama yalivyo kutokea wewe lakini kwa sasa nipo third year na nimesoma bila loan na fuculty hyo hyo uliochaguliwa wewe lakini mimi sikukata tamaa kama wewe(jikaze mtoto wa kiume) pia nilikuwa na mawazo kama yako yakusema nikifika chuo nita apeal lakini sikufanikiwa mpaka leo hii, ukweli ni kwamba ktk watu 100 wanao appeal si watu zaidi ya 5 ndo wanaweza kupata, nao inabidi wawe na reasons zakutosha kama yatima,fucult mhimu(nyingi ardhi na COET), bila hivyo utakuwa unapoteza hela zako zaku apeal kila mwaka(50,000) .sikukatishi tamaa ila ukweli ndo huo coz mim nimeshinda sana kule bodi ya mikopo(msasani) bila hata mafanikio kwa mda wa miaka 2,cha msingi ninachokushauli kama unauwezo wa kwenda chuo nenda alafu usubili kuomba tena pale unavyoingia mwaka wa pili.
nashukuru sana bwana braza kwa ushauri wako mzuri mungu akubariki sana kaka