Kumbe ndugu zetu wa damu Wachina nao hutumia samaki nchanga

Kumbe ndugu zetu wa damu Wachina nao hutumia samaki nchanga

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1609132351483.png
 
Acha kujidhalilisha hivyo, utakuwaje na ndugu Mchina?
 
Mpaka leo bado najiuliza wale wanaosema Adam na Hawa/Ever walikuwa ni Wachina kweli na pia nashangaa kama walikuwa Wachina kwanini hawakumla yule nyoka?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
kufaana , kufanana na nakushibana, ndo undugu haswa.
Railways , roads ,maendeleo kibao ya nchii hii tuko nao pamoja

Na pia tukikaa nao makini huenda soko la hao chamaki wa changa likakua😂🤣 hapa nchini

Labda wewe ndo umefanana na Mchina, mimi siyo, ...
 
Mbona panya wanaliwa jamani!
Mimi sio mchina lakini panya nakula.
 
Back
Top Bottom