Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa chochote chenye miguu, kasoro meza na viti tu wanabugia[emoji4][emoji4]Wachina hakuna wasichotumia, kila kitu wanapeleka pwani
Hata visivyo na miguu wanatupia, nyoka wanabugiaHawa jamaa chochote chenye miguu, kasoro meza na viti tu wanabugia[emoji4][emoji4]
Kama Wakongomani tu!Hawa jamaa chochote chenye miguu, kasoro meza na viti tu wanabugia[emoji4][emoji4]
Mpaka leo bado najiuliza wale wanaosema Adam na Hawa/Ever walikuwa ni Wachina kweli na pia nashangaa kama walikuwa Wachina kwanini hawakumla yule nyoka?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Acha kujidhalilisha hivyo, utakuwaje na ndugu Mchina?
kufaana , kufanana na nakushibana, ndo undugu haswa.
Railways , roads ,maendeleo kibao ya nchii hii tuko nao pamoja
Na pia tukikaa nao makini huenda soko la hao chamaki wa changa likakua😂🤣 hapa nchini
Nikakununulie panya buku.. utakula?[emoji23][emoji23][emoji23]
Mchina asichokula labda udongo tu!!!
Sili hata ndotoniNikakununulie panya buku.. utakula?