Du kweli jf kiboko.
Jf kiboko chao.... kiboko chao...
Mbn sioni akiomba namba za simu??!!!!
Acha ushamba.
Tunawekewaa picha tu lakin hatuon wakipeana nambaaa
Ni picha ya pamoja hainyeshi yupi ndo kamshobokea mwenzake
Aliyeleta uzi yeye ndo anashoboka kwa kuona picha tu.
hivi kushoboka kumbe ni kupiga picha na watu eenh?
No wonder i didnt know... huhuhuuuu!
Tunawekewaa picha tu lakin hatuon wakipeana nambaaa
View attachment 168564hapa akiwa anaomba namba za Radio na weasal baada ya kuwashobokea
mtoa mada katumia fasihi ya hali ya juu....kuwasilisha mada yake