Kumbe Nguruwe sio haramu

Kumbe Nguruwe sio haramu

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Wadau leo nilibahatika kumsikia Mzee ktk mahojiano yake na Salama. Ktk kipindi kile nili note kauli mbili ambazo zimenifanya nibadilishe mtazamo kuhusu uislamu na baadhi ya vitu.

1. Kumbe nyama ya Nguruwe sio haramu, ktk uislamu muumin anaruhusiwa Kula kitimoto endapo hamna kitu Cha Kula .....hapa nimepata jawabu coz Kuna jamaa mmoja alibadili din toka ukristo kwenda uislamu ila jamaa anaendelea Kula kitimoto. Nimegundua huenda jamaa ameshauriwa asitumie nyama nyekundu hivyo anakula nyama nyeupe Kama mbadalaa

Hii sijui imekaa sawa kwa huyu ndugu yetu.

2 ktk mahojiano Yale Mzee alitoa kauli ambayo mpaka sasa Bado naona ni Tata Sanaa

Alisema, ww Kama muislamu ikatokea wakati unakula chakula then ukapaliwa na tonge kooni Kisha hamna maji ya kunywa lkn karibu ipo chupa ya wiski ...Basi unapaswa unywe wiski kwasababu uislamu hauruhusu mtu kujiua

Aiseee izi kauli mbili ni kitu kipya sanaaa kwa upande wangu kimtazamo
 
Wadau leo nilibahatika kumsikia Mzee Yusuf ktk mahojiano yake na Salama. Ktk kipindi kile nili note kauli mbili ambazo zimenifanya nibadilishe mtazamo kuhusu uislamu na baadhi ya vitu.

1. Kumbe nyama ya Nguruwe sio haramu, ktk uislamu muumin anaruhusiwa Kula kitimoto endapo hamna kitu Cha Kula .....hapa nimepata jawabu coz Kuna jamaa mmoja alibadili din toka ukristo kwenda uislamu ila jamaa anaendelea Kula kitimoto. Nimegundua huenda jamaa ameshauriwa asitumie nyama nyekundu hivyo anakula nyama nyeupe Kama mbadalaa

Hii sijui imekaa sawa kwa huyu ndugu yetu.

2 ktk mahojiano Yale Mzee alitoa kauli ambayo mpaka sasa Bado naona ni Tata Sanaa

Alisema, ww Kama muislamu ikatokea wakati unakula chakula then ukapaliwa na tonge kooni Kisha hamna maji ya kunywa lkn karibu ipo chupa ya wiski ...Basi unapaswa unywe wiski kwasababu uislamu hauruhusu mtu kujiua

Aiseee izi kauli mbili ni kitu kipya sanaaa kwa upande wangu kimtazamo
... aliyekudanganya nguruwe ni white meat nani? That's purely red meat acha kulisha watu matango pori kwa usichokijua.
 
Wadau leo nilibahatika kumsikia Mzee Yusuf ktk mahojiano yake na Salama. Ktk kipindi kile nili note kauli mbili ambazo zimenifanya nibadilishe mtazamo kuhusu uislamu na baadhi ya vitu.

1. Kumbe nyama ya Nguruwe sio haramu, ktk uislamu muumin anaruhusiwa Kula kitimoto endapo hamna kitu Cha Kula .....hapa nimepata jawabu coz Kuna jamaa mmoja alibadili din toka ukristo kwenda uislamu ila jamaa anaendelea Kula kitimoto. Nimegundua huenda jamaa ameshauriwa asitumie nyama nyekundu hivyo anakula nyama nyeupe Kama mbadalaa

Hii sijui imekaa sawa kwa huyu ndugu yetu.

2 ktk mahojiano Yale Mzee alitoa kauli ambayo mpaka sasa Bado naona ni Tata Sanaa

Alisema, ww Kama muislamu ikatokea wakati unakula chakula then ukapaliwa na tonge kooni Kisha hamna maji ya kunywa lkn karibu ipo chupa ya wiski ...Basi unapaswa unywe wiski kwasababu uislamu hauruhusu mtu kujiua

Aiseee izi kauli mbili ni kitu kipya sanaaa kwa upande wangu kimtazamo
Nashindwa kuielewa akili yako
 
Eti Mzee Yusuph, huyu huyu mwanamziki, Huo mziki wa Dunia wenyewe anao upiga imani yake haukubliani nao, na siyo imani yake tu hata ukristo.

Alafu elewa kuwa harumu maana yake ni makatazo, mfano: kufanya mapenzi na Mama yako, Baba yako, Dada wa tumbo moja, Kaka wa tumbo moja, mwanao ulie mzaa, wote hao ni haramu kufanyana mapenzi.

Lakini watu hawafanyi. Hivyo elewa kuwa mungu alipo muumba Mwanadamu akamjaza akili ili aweze kujitofautisha na hayawani, akampa mipaka, hivyo hiyo mipaka, ukiivuka, ndiyo huitwa haramu.

Ila ukishiriki ngono na Dada yako, atapata mimba na atazaliwa mtoto ka watoto wengine, ila huruhusiwi.
 
Nani Yule TAPELI ?
Yule mjanja mjanja..
kaona sadaka hazilipi karudi kwa shetwani
 
Eti Mzee Yusuph, huyu huyu mwanamziki, Huo mziki wa Dunia wenyewe anao upiga imani yake haukubliani nao, na siyo imani yake tu hata ukristo.

Alafu elewa kuwa harumu maana yake ni makatazo, mfano: kufanya mapenzi na Mama yako, Baba yako, Dada wa tumbo moja, Kaka wa tumbo moja, mwanao ulie mzaa, wote hao ni haramu kufanyana mapenzi.

Lakini watu hawafanyi. Hivyo elewa kuwa mungu alipo muumba Mwanadamu akamjaza akili ili aweze kujitofautisha na hayawani, akampa mipaka, hivyo hiyo mipaka, ukiivuka, ndiyo huitwa haramu.

Ila ukishiriki ngono na Dada yako, atapata mimba na atazaliwa mtoto ka watoto wengine, ila huruhusiwi.
Mh sawa maaaaalim
 
Nani Yule TAPELI ?
Yule mjanja mjanja..
kaona sadaka hazilipi karudi kwa shetwani
Huna haki ya kumuukumu, Maana hakusema vibaya Bali mm ndio niliamua kuchukua au kuelewa izo kauli mbili ..

Kwanza nikuulize ww ..
Ikatokea umekwama na tonge la biriani kooni na hamna maji ila pembeni ipo chupa ya heinken Je hautakunywa heinkein ili kutanguliza tonge ?
 
Wadau leo nilibahatika kumsikia Mzee Yusuf ktk mahojiano yake na Salama. Ktk kipindi kile nili note kauli mbili ambazo zimenifanya nibadilishe mtazamo kuhusu uislamu na baadhi ya vitu.

1. Kumbe nyama ya Nguruwe sio haramu, ktk uislamu muumin anaruhusiwa Kula kitimoto endapo hamna kitu Cha Kula .....hapa nimepata jawabu coz Kuna jamaa mmoja alibadili din toka ukristo kwenda uislamu ila jamaa anaendelea Kula kitimoto. Nimegundua huenda jamaa ameshauriwa asitumie nyama nyekundu hivyo anakula nyama nyeupe Kama mbadalaa

Hii sijui imekaa sawa kwa huyu ndugu yetu.

2 ktk mahojiano Yale Mzee alitoa kauli ambayo mpaka sasa Bado naona ni Tata Sanaa

Alisema, ww Kama muislamu ikatokea wakati unakula chakula then ukapaliwa na tonge kooni Kisha hamna maji ya kunywa lkn karibu ipo chupa ya wiski ...Basi unapaswa unywe wiski kwasababu uislamu hauruhusu mtu kujiua

Aiseee izi kauli mbili ni kitu kipya sanaaa kwa upande wangu kimtazamo
Sahihi mkuu nguruwe anaweza kuliwa ikiwa hapo pahala hakuna chakula kingine na wewe njaa imekukamata kweli kweli,unaagiza kitimoto yako unakula kutoa njaa kiasi cha kuweka kuishi unaachana nayo,sio unapiga mpaka unavimbiwaa wakati unakaribia mazingira ya kupata chakula kingine.

Mfano upo sehemu ambayo hakuna chakula na umepata dharura unakaa wiki nzima hapo njaa kali huna nguvu,kapita nguruwe unawinda unakamata unachoma unapiga.

Linapokuja suala la uhai mkuu Mungu sio mjinga kwamba ufe kwa njaa wakati nguruwe aliyemuumba yupo pale ?

Ndio mimi naona kwamba dini ni nyepesi sana yani hapo unaona kwamba nguruwe kakatazwa ikiwa mtu yupo maeneo ambayo kuna vyakula vingine vinapatikana.
 
Back
Top Bottom