Kumbe ni Dk Mukama

Kumbe ni Dk Mukama

Ila na vyombo vyetu vya habari havipo makini, juzi wakati wa kumuaga Lt.Gen. Mayunga mwandishi wa ITV alimtamka kama Luteni Kanali zaidi ya maramoja na wala hawakushtuka.
 
Ila na vyombo vyetu vya habari havipo makini, juzi wakati wa kumuaga Lt.Gen. Mayunga mwandishi wa ITV alimtamka kama Luteni Kanali zaidi ya maramoja na wala hawakushtuka.
Maadili ya kazi hayazingatiwi,kwa vyeo vya kijeshi ni rahisi kukosea lakini si u dr ambao hujui hata kama anao.
 
Viongozi wetu wengi ni vilaza ukiacha baadhi ya vipanga kama Dr Magufuli aliyepitia tanuru kali la UDSM, wanadhani kuitwa ma-Dr ni sifa kumbe ni aibu na kushusha kiwango cha elimu ya TZ, kila mtu ni Dr huku nchi ikiyumba kiuongozi! Afrika nzima na Duniani kote hakuna nchi yenye viongozi vilaza wajiitao Dr kama TZ.
 
Back
Top Bottom