white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
nakubaliana na wale wadau wa jf waliokuwa wanadai kuwa mtangazaji wa east africa radio maarufu kama zembwera ktk kipindi cha super mix, ni kilaza kwani hajui hata vipimo vya urefu!juzi anasema alishuhudia mtoto amegongwa na gari na kuburuzwa umbali wa kilomita 150!!na hakufa! Sawa na urefu wa viwanja vi 5 vya mpira wa miguu!!hivi viwanja viko dunia ipi? Vyenye urefu huu!tena anarudia rudia kwa msisitizo,kuonyesha kuwa anajua kile anachoongea,na hata huyo mtangazaji mwenzake michael baruti kumsahihisha hamna!jamani hata ile kanuni ya darasa la 4 ya mimi sili dagaa maana dagaa huleta kichaa,ilimpita kushoto!kwa watangazaji hawa bado kuna safari ndefu.
What is Dagaa. Navyojua huanza kilometa. Sisi tulikua tunasema Kofia Huuzwa Dukani Mwa Daudi Senti MiaHaaaaa umenikumbusha mbali sana
Dagaa Huuza Dukani Kwa Daudi Sent Mia
Haaaaa umenikumbusha mbali sana
Dagaa Huuza Dukani Kwa Daudi Sent Mia
Mmmh hii kali, yani 150km hiyo ni safari ya masaa 3 au zaidi. lol. hata kama kamaanisha 150m viwanja vitano ni zaidi ya hayo.
Kweli common sense is uncommon
What is Dagaa. Navyojua huanza kilometa. Sisi tulikua tunasema Kofia Huuzwa Dukani Mwa Daudi Senti Mia
Hahaha! Umesahau ni Senti MiaMoja,lol
Kuna ile ya periodic table sijui tulikuwa tunaimbaje tena?
Hellow Hemedi...
Haaaaaaaa da form ii hyo mambo ya mkandawile daaaaaa mie nakumbuka SPEC-different btn mixture and compound,da usipime mtu wangu long sana hayo makitu,zembwela kabla ujasema kitu ebu discuss off air na baruti kwanza unajiaibisha,kuna kipindi uliachia wimbo wa kidumu ft sana-mulika mwizi lakin wewe ukasema kidumu ft lady jd-mulika mwizi na kuna msikilizaji alikutumia sms kwamba umekusea sio lady jd lakini ulipotezea sms na kuishia uwo wimbo hakuimba ladj jd basi ukaishia hapo hapo hauja omba radhi kwa wasikilizaji anyway zembwela unajitahidi lakini.
nakubaliana na wale wadau wa jf waliokuwa wanadai kuwa mtangazaji wa east africa radio maarufu kama zembwera ktk kipindi cha super mix, ni kilaza kwani hajui hata vipimo vya urefu!juzi anasema alishuhudia mtoto amegongwa na gari na kuburuzwa umbali wa kilomita 150!!na hakufa! Sawa na urefu wa viwanja vi 5 vya mpira wa miguu!!hivi viwanja viko dunia ipi? Vyenye urefu huu!tena anarudia rudia kwa msisitizo,kuonyesha kuwa anajua kile anachoongea,na hata huyo mtangazaji mwenzake michael baruti kumsahihisha hamna!jamani hata ile kanuni ya darasa la 4 ya mimi sili dagaa maana dagaa huleta kichaa,ilimpita kushoto!kwa watangazaji hawa bado kuna safari ndefu.
Periodic table 2likuwa tunaimba hallo helena lile beberu bora chnja na ondoa figo nen na yule mganga aliyeiba simu pale serengt club arud kwao canada...
Periodic table 2likuwa tunaimba hallo helena lile beberu bora chnja na ondoa figo nen na yule mganga aliyeiba simu pale serengt club arud kwao canada...
mkandawile yule mwili mdogo???kama huyo alinifundisha pia.....