Kumbe ni kweli kuwa zembwera ni kilaza!! Hata hili 2 hajui!

Mi tokea aondoke Musa na Anna hicho kipindi sikisikilizagi tena!! Zembela na Michael Baruti wote ni vilaza.
MP.
 

150kms ~ viwanja vitano vya mpira hii ni hatari, halafu mtu agongwe aburuzwe asife!!! Kama mimi ni muajiri namfuta kazi kwa kuaibisha station yangu na uzurusi wake.
 
150kms ~ viwanja vitano vya mpira hii ni hatari, halafu mtu agongwe aburuzwe asife!!! Kama mimi ni muajiri namfuta kazi kwa kuaibisha station yangu na uzurusi wake.

huyo muajiri atajuaje wakati yeye mwenyewe radio hasikilizi?
 
Kofia Huuzwa Dukwani Mwa Daudi Senti Miamoja. Na hii pia holaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…