Naulizia njia ya kwenda kwa kina swtybby... napitia wapi?!Uliza ndgu
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naulizia njia ya kwenda kwa kina swtybby... napitia wapi?!Uliza ndgu
Mi nipo hapa mara wengine wanasema Kariakoo mara wengine wanasema shule ya uhuru mara wengine wanasema Msimbazi... yaani nimechanganyikiwaje! Kweli tena swtybby nahitaji kufika kwenu sema ndo n'shakwama hivyo!W unatokea wapi ili iwe rahisi kukuelekeza
Mi si n'shasema kwamba hapa mi mgeni! Huyo Mangwer ndo balozi au mwenyekiti wa serikali ya ntaa?Daa!me nkaa h mitaa ya kna mangwer
Mi si n'shasema kwamba hapa mi mgeni! Huyo Mangwer ndo balozi au mwenyekiti wa serikali ya ntaa?
Hodi humu jf. Nimeranda sana jf kama visitor, nimeona nami nijiunge ili nitoe michango. Nimevutiwa sana na hoja, vituko vya wafuatao
Miss chaga, masai dada, nifah, ms lincolin, the Boss, matola, mchiwa ng'ambaku, diva beyonce, lukelo sakafu na matenene.
Huwa nafurahishwa na hoja na ubishi wao katika kusimamia vile wanavyoamini.