wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,544
Niliwahi kuambiwa zamani kuwa,wasanii huwa hawana tofauti na mabaamed kitabia nikawa siamini,sasa nimepata taarifa nzito za siri kuhusu Odama kuwa,pamoja na kutokuwa na skendo kwenye vyombo vya habari.
Kumbe amekuwa akifanya ukicheche kwa umakini wa hali ya juu sana, kiasi kwamba amefanikiwa kuzikwepa kwa muda mrefu sana setlait za magazeti ya udaku hadi akajikuta anatandikwa mimba na mume wa mtu, ndo maana huwa hataki kumuweka hadharani mwanaume aliyemsondeka mimba kwa hofu ya issue kubumburuka, si hivyo tu hata wasanii wenzake kama Yusuf Mlela na wengine. Odama alithubutu kuchojoa na kugawa papuchi bila hata ya kujionea huruma kuwa.
Yeye ni mtoto wa kike anayepaswa kujistiri ili aje kuolewa na kuzaa akiwa katika ndoa,na si kama alivyofanya kuzalia nyumbani then anaenda kupanga geto, hiyo ni tabia ya ajabu kabisa kufanywa na binti tena anayejulikana kama kioo cha jamii,hii ndo inapelekea mabinti wengi kuzalia nyumbani,"wacha nizae mbona hata odama alizalia nyumbani"? kisa wanamuona kwenye TV,so wanadhani yuko ok.
Kumbe amekuwa akifanya ukicheche kwa umakini wa hali ya juu sana, kiasi kwamba amefanikiwa kuzikwepa kwa muda mrefu sana setlait za magazeti ya udaku hadi akajikuta anatandikwa mimba na mume wa mtu, ndo maana huwa hataki kumuweka hadharani mwanaume aliyemsondeka mimba kwa hofu ya issue kubumburuka, si hivyo tu hata wasanii wenzake kama Yusuf Mlela na wengine. Odama alithubutu kuchojoa na kugawa papuchi bila hata ya kujionea huruma kuwa.
Yeye ni mtoto wa kike anayepaswa kujistiri ili aje kuolewa na kuzaa akiwa katika ndoa,na si kama alivyofanya kuzalia nyumbani then anaenda kupanga geto, hiyo ni tabia ya ajabu kabisa kufanywa na binti tena anayejulikana kama kioo cha jamii,hii ndo inapelekea mabinti wengi kuzalia nyumbani,"wacha nizae mbona hata odama alizalia nyumbani"? kisa wanamuona kwenye TV,so wanadhani yuko ok.