We una lako jambo, mastaa wote waliozaa bila waume umemuona Odama tu!!!? mxuuu
unaficha mengi wapi si useme anafi(rwa) na pedeshee mmiliki wa bar ya ZAMBEZI riverside ubungo.
Mtafute huyu mwenye hoja lazima atakuwa nayo.Odama ndio yupi huyo.. Mwenye picha yake pls
Mwenzenu Sijaona point hata moja kwenye hii thread.
Bro unakuwa mkali,tena unasema kuwa eti kwa nini aibanebane,ni dhahiri kabisa ni wewe uliyempa mimba binti huyu na kumharibia maisha yake,coz wewe una mke then you forsook being stranded into a great blindfolded dilemma in which she has no choice wherein to make her destiny,wewe ni mtu mbaya sana,mkipata vijisenti vidogo tu vya mboga mnakimbilia kudanganya wasanii,huo ni ulimbukeni wa kimaisha mlionao,jibu hoja siyo kunitukana,mzinzi mkubwa wewe usiye na shule!
Huyu muandishi vp?!! Kuna wadada wangap wanazalia hom inamaana wote wamuiga uyo Odama? Kwanza c kitu kizur kuanza kumuongelea mtu na kumchafua eti kisa kazalia hom kwani ww dada zako wote na ndugu zako wote wamezaa wakiwa kene ndoa? Na si ajabu hata wewe mwenyewe umezaa nje ya ndoa stupid!
Kuwa na heshima hata kidogo sio kila mtu mnapenda tu kumchafua chafua bure jee huyo angelikuwa ni dadako kabisa ungeuleta humu utumbo wako.....shame on u