Kumbe Odama ni kicheche wa kimyakimya

Kumbe Odama ni kicheche wa kimyakimya

Hata mkeo ni kicheche wa chinichini we subiri kulea watoto wa wenzio.
 
Umetumwa kuja kumpa promo, au una issue zako binafsi?
 
Ukianza kufuatilia Baba wa Watoto utapata shida sana , unaweza jikuta hata wewe unaemwita Baba si Baba yako wa Kibaiologia ...... mumuache kuzaa ni MAJAALIWA :coffee:
 
unaficha mengi wapi si useme anafi(rwa) na pedeshee mmiliki wa bar ya ZAMBEZI riverside ubungo.

Afadhali umenisaidia kuanika tena uchafu wake mwingine,maana bila hivyo,humu kuna mandina wengi mno wasiojua kitu,nakupa big up sana mchizi wangu!
 
Huyu muandishi vp?!! Kuna wadada wangap wanazalia hom inamaana wote wamuiga uyo Odama? Kwanza c kitu kizur kuanza kumuongelea mtu na kumchafua eti kisa kazalia hom kwani ww dada zako wote na ndugu zako wote wamezaa wakiwa kene ndoa? Na si ajabu hata wewe mwenyewe umezaa nje ya ndoa stupid!

Kuwa na heshima hata kidogo sio kila mtu mnapenda tu kumchafua chafua bure jee huyo angelikuwa ni dadako kabisa ungeuleta humu utumbo wako.....shame on u
 
Bro unakuwa mkali,tena unasema kuwa eti kwa nini aibanebane,ni dhahiri kabisa ni wewe uliyempa mimba binti huyu na kumharibia maisha yake,coz wewe una mke then you forsook being stranded into a great blindfolded dilemma in which she has no choice wherein to make her destiny,wewe ni mtu mbaya sana,mkipata vijisenti vidogo tu vya mboga mnakimbilia kudanganya wasanii,huo ni ulimbukeni wa kimaisha mlionao,jibu hoja siyo kunitukana,mzinzi mkubwa wewe usiye na shule!

Acha hizo bana umbea wko humu hauna mashiko hujui tuu kuwa umewadhalilisha na wanawake wote waliozaa wakiwa bado mahome
 
Huyu muandishi vp?!! Kuna wadada wangap wanazalia hom inamaana wote wamuiga uyo Odama? Kwanza c kitu kizur kuanza kumuongelea mtu na kumchafua eti kisa kazalia hom kwani ww dada zako wote na ndugu zako wote wamezaa wakiwa kene ndoa? Na si ajabu hata wewe mwenyewe umezaa nje ya ndoa stupid!

Kuwa na heshima hata kidogo sio kila mtu mnapenda tu kumchafua chafua bure jee huyo angelikuwa ni dadako kabisa ungeuleta humu utumbo wako.....shame on u

Halafu wewe ni yusuf mlela,acha kukomment ushamba,odama ni kioo cha jamii,ndo maana tunamuandika,angekuwa dada yangu,wangeandika waandishi wengine kuhusu upuuz wake,we mshamba kabisa usiye na shule shame on your brain failure,nyambaf...
 
Kidumechambegu mbona you sounds like binamu warumi. Ni wewe binamu nini?
 
Back
Top Bottom