Kumbe Papii kocha anaweza kuwa baba mkwe, hili toto lake

Mie kwa ukali upi ndugu yangu. Na mie mbovu kama mademu wengine wa JF. Huoni mwenzio kasema sisi wanawake wa JF wachafu ntakuaje mkali na mie nipo kapu moja la wanawake wa JF
Achana naye ana frustration zake
 
Mbona hueleweki? Kwahiyo unawatongoza ukaimbe nao kwaya au? Halafu sisi sio wachafu embu tuheshimu kidogo. Huyo mwanamke wako unaemuona msafi kuna mtu anamuona mchafu vile vile. Jiheshimu
Wangu msafi nina uhakika huo, kwan kukutana na mwanamke lazma uwe umemtongoza?? Kuonana kwanza nikiona ana sura mbaya kama yako nampotzea tuu
 
Imebidi nimuangalie tena huyo mtoto. Ila uzuri wa mtu uko kwa mtu. Sio mbaya wala hana uzuri huo wa kutusimanga wanawake wa humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…