Kumbe Prince ni ngoma iliyomuondoa

Kumbe Prince ni ngoma iliyomuondoa

Akiwa kama mtu mzima zaidi ya umri wa miaka 18 ana uhuru wa kukataa au kukubali matibabu. Inhibitors zinavusha masikini yeye na mahela yake angeweza kutibiwa hata private hospital.
Kumbuka alikuwa jehova witness wale unawafahamu jinsi hawakubali tiba nyingi hasa ya kuongezewa damu na mengine. Nashangaa hata Michael Jackson alikuwa Jehova na ni mraibu wa madawa ya kupunguza maumivu ambayo kiukweli ni addiction kama nyingine tu tena inawachukua haraka kuliko hata pombe.
 
Ukimwi upo kila mahali wala msidanganywe eti unatutafuna Afrika peke yetu hapana. dada yake mariah carey anao. kuna mtz wa zanzibar alikua anakaa state mwimbajibwa kundi flani ivi nae uluua wakati wa miaka ya 90. rapa mkongwe za zamani miaka ya 95 eazy nae ulimuua. halaf utasikia vwatu wengine wanabisha wanasema ukimwi haupo ni ugongwa fake. kuna mtu anaitw deception ananiumiza sana najua mdomo ni mbaya unawapoteza wengi.
R.I.P prince life is so difficult in this planet earth.
Fred alikuwa raia wa Uingereza mwenye asili ya Zenj siyo US.
 
Tunashukuru kwa ushauri.Mi naomba kujua je wewe unajua current status yako ya hiv?
Asante sana. Ninaijua status yangu. Na hakika niko mwangalifu na Mungu ananisaidia. Kuna post yangu himu ndani na moja ta kigezo ni HIV checking.
 
unashangaa nini mleta uzi kwani ulidhania ukimwi unamuhusu nani ndo maana tunashauriwa tusinyayapae wenzetu maana ukimwi wenyewe mara nyingi unahusika na pale sehemu patamu kuliko pote duniani na pasipoepukika


na matajiri nao wanapapenda sana tu kama wewe na mimi .. tumia condom japo si kinga 100%
 
043E5BED000005DC-3562640-image-a-24_1461805331489.jpg


Prince alikuwa na hisia kali jukwaani.
 
Watu wengi hawajui huyu Prince ni mtu mweusi

Mbona mweupe? Hiki kizazi cha Michael Jackson sijui kilikua na shida gani?..mara wachonge pua mara ngozi mara wapandikize mbegu ili wapate watoto..bora wanavyokufa bila matendo yao kupata warithi wengi
 
Back
Top Bottom