Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo top 4 ni USA.. basi jamaa Yuko mbali sana. Hata hivyo raia wake wenye kipato Cha kati ni wengi sanaView attachment 2337445Haya hapa ndiyo mashirika makubwa ya ndege za abiria ulimwenguni. Kama kawa USA ana top list
Alafu anakuja MTU kalewa gongo anakwambia Russia inauchumi wa juu, kama kusafiri kwenyewe ni kipengele tuuu.Middle East (Emirates, Qatar, Oman Air, etc.) geographical location yao inawabeba kama connecting hubs to Europe, Far East, Australia, the Americas, na Africa.
Kama Russia ingekuwa state mojawapo ya US ingekuwa ya nne kiuchumi kati ya states za Marekani baada ya California, NY, na Texas in that order. Hiyo ndio ishindane kiuchumi na Marekani? Zitakuwa ndoto za mwehu!Alafu anakuja MTU kalewa gongo anakwambia Russia inauchumi wa juu, kama kusafiri kwenyewe ni kipengele tuuu.
Nyie kila nyuzi mnaleta mambo yenu ya Russia na USA...msiharibu nyuzi za watu...fungueni za kwenu zenye hizo mamboKama Russia ingekuwa state mojawapo ya US ingekuwa ya nne kiuchumi kati ya states za Marekani baada ya California, NY, na Texas in that order. Hiyo ndio ishindane kiuchumi na Marekani? Zitakuwa ndoto za mwehu!
Raia wake wa kipato cha chini wamejazana bongo na wanaishi kama wafalme,kikubwa wanaombea kila kucha serikali ya TZ iondoe zuio la wageni kutomiliki ardhi na kuwepo uraia pacha,kwenye uraia pacha niko nao ila kwenye ardhi serikali ikamatie hapo hapoKwa hiyo top 4 ni USA.. basi jamaa Yuko mbali sana. Hata hivyo raia wake wenye kipato Cha kati ni wengi sana
Marekani uchumi wake mkubwa sana, sio mchezo yaaniKama Russia ingekuwa state mojawapo ya US ingekuwa ya nne kiuchumi kati ya states za Marekani baada ya California, NY, na Texas in that order. Hiyo ndio ishindane kiuchumi na Marekani? Zitakuwa ndoto za mwehu!
Ungejua USA ilivyo kubwa husingeshangaa, USA ni sawa na nchi 50 zilizoendelea na kila moja ina airports zaidi ya moja, hivyo hata kwa safari za ndani tuu hakuna nchi inaweza kuishinda USA
Raia wake wa kipato cha chini wamejazana bongo na wanaishi kama wafalme,kikubwa wanaombea kila kucha serikali ya TZ iondoe zuio la wageni kutomiliki ardhi na kuwepo uraia pacha,kwenye uraia pacha niko nao ila kwenye ardhi serikali ikamatie hapo hapo
Kwenye aridhi. Kama sio Tanzania kuwa wajanja ktk aridhi, mapoli yote Tanzania yangechukuliwa na awa wamarekani yaani. Jamaaa wanajua kubadilisha aridhi kuwa fursa yaani. Na Ndio wengi wameweka pesa zao pale Dubai UAE. Pale mwarabu anakula kodi tuuu lakini mmarekani, Ndio kamwaga mipesa yakeRaia wake wa kipato cha chini wamejazana bongo na wanaishi kama wafalme,kikubwa wanaombea kila kucha serikali ya TZ iondoe zuio la wageni kutomiliki ardhi na kuwepo uraia pacha,kwenye uraia pacha niko nao ila kwenye ardhi serikali ikamatie hapo hapo
Wamarekani weusiRaia gani hao kipato cha chini bongo wanaishi kama wafalme??
... wakati nchi kama UAE international airports ni mbili nadhani; Marekani ziko kibao kila state; kutokea popote duniani unaweza kutua mojawapo kati ya zaidi ya international airports 50. Hizo local ndio zimejaa hadi mashambani kama utitiri ukiacha za jeshi ndio ziko kila kijiji. Lile dude ni kitu kingine.Marekani uchumi wake mkubwa sana, sio mchezo yaani
Wapo wengi na wanaendelea kuja,serikali wangewapa kaeneo kama mwabepande basi,na wasizidi 100,kingine wanacholalamikia visa ya siku 90 atoke nje ya TZ halafu aombe upya kuingia,wangewapa visa hata ya mwakaKwenye aridhi. Kama sio Tanzania kuwa wajanja ktk aridhi, mapoli yote Tanzania yangechukuliwa na awa wamarekani yaani. Jamaaa wanajua kubadilisha aridhi kuwa fursa yaani. Na Ndio wengi wameweka pesa zao pale Dubai UAE. Pale mwarabu anakula kodi tuuu lakini mmarekani, Ndio kamwaga mipesa yake
tukalaleOkay, kwahiyo tufanyeje sasa?