Kumbe Rais Putin anatumia Boeing. USA hakwepeki

Kumbe Rais Putin anatumia Boeing. USA hakwepeki

dogo nenda shule kwanza kajifunze kufanya utafiti kabla ,hujatapika uhalo wako!! Ilushin unazijua au !!? Ndo nyny huwa mnapelekwa vitani flont line Kama chambo .....shut......up!!! wewe na zele hamna tofauti.bogas kabisaa!!!

Rudia Tena kuleta uharo Kama huu uone!!!
Inatosha mkuu
 
ila kuunga mkono Urusi ni ujinga wa kiwango cha reli maana urusi hapiganii maslai yetu wala ya mtu yeyote mbali na warusi so ilibid waafrik tuutumie huu mgogoro kupiga hatua ila tumekubali kubakia nyuma , na ss hv tumejiwek nyuma ya Uruai it means tumekubali kuwa vikatuni wa watu fulan , kpnd hiki ndo ilikuwa simple kuwatumia wazung kukuza uchumi maana wanajiandaa kuwekeza ili kukabiliana na China , hz Fursa Kenya kaziona na kashachangamkia tyr
Wacha wee, africa hii hii?
Hii ambayo ukimpa mtu kazi anaangalia yeye anatajirikaje kwanza sio atafanyaje kazi vizuri ili kazi iendelee?
Sisi bado sanaaa bora tuendelee kuwa washangiliaji?
 
ila kuunga mkono Urusi ni ujinga wa kiwango cha reli maana urusi hapiganii maslai yetu wala ya mtu yeyote mbali na warusi so ilibid waafrik tuutumie huu mgogoro kupiga hatua ila tumekubali kubakia nyuma , na ss hv tumejiwek nyuma ya Uruai it means tumekubali kuwa vikatuni wa watu fulan , kpnd hiki ndo ilikuwa simple kuwatumia wazung kukuza uchumi maana wanajiandaa kuwekeza ili kukabiliana na China , hz Fursa Kenya kaziona na kashachangamkia tyr
Unataka kusema hao wengine wanapigania maslahi yetu?,yapi?
 
Upande ndege ya rais uende wapi? Wao wanajitengenezea siyo kwa kuuza ingawa wa Cuba walinunua baadhi na ndio pekee nje ya Russia wanatumia.
... naona tunabishana badala ya kuweka facts mezani. Hoja ni "Ilyushin Il-96-300PU" zimezalishwa ngapi tangu 1992 zilipoanza kuzalishwa. Kama fact ni "Ilyushin Il-96-300PU" ni ndege specifically kwa Rais wa Russia you are right; but, unfortunately, it isn't! Hao Cuba unaosema walinunua hiyo ndege nao ni kwa ajili ya matumizi ya Rais wao?
TUJITEGEMEE, Mpinzire
 
.... inawezekana na mimi sijaelewa hoja; unamaanisha Ilyushin Il-96-300PU ni equivalent na Air Force One? Sio Boeing tena?
Ukisoma utajua hadi leo zimetengenezwa ngapi hizo Air Force One. Kama vile ndege ya Rais wa Urusi zilivyo chache. Hizi ni ndege special

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
ila kuunga mkono Urusi ni ujinga wa kiwango cha reli maana urusi hapiganii maslai yetu wala ya mtu yeyote mbali na warusi so ilibid waafrik tuutumie huu mgogoro kupiga hatua ila tumekubali kubakia nyuma , na ss hv tumejiwek nyuma ya Uruai it means tumekubali kuwa vikatuni wa watu fulan , kpnd hiki ndo ilikuwa simple kuwatumia wazung kukuza uchumi maana wanajiandaa kuwekeza ili kukabiliana na China , hz Fursa Kenya kaziona na kashachangamkia tyr
Tumia akili hata kidogo wazungu wanaowazungumizia ni hawa NATO au wazungu gani? Wapo miaka yote tangu waigawane Afrika wakibadili mbinu za ukoloni shenzi zao wauawae tu.
Uwekezaji tangu uhuru wa nchi za afrika umenufaika nini zaidi ya kukuamulia nani awe rais wenu na nani asiwe.
1.Kama hawamkubali WATAMUUA au kuleta MAPUNDUZI wakiwatumia wafrika VICHWA BOKSI kwa mgongo wa demokrasia..
2. Juzi afrika wametaka wanunua chakula Urusi kujihami na njaa inayokuja. Wanawaambia MSIJARIBU. Je unaona hapo kuwa uhuru wa MAAMUZI kwa Afrika?
3. Afrika tuunge mkono MPINDUA MEZA PUTIN ili tuanze upya na tusipojipanga hapa kwa kuweka misimamo ya rasilimali zetu kwa kukosa muelekeo muda wote hatuelewi tunatakiwa kufanya nini na kungoja wazungu unaowasema waje kutuambia tufanyaje ni KUFURU na hatutatoboa ever ever.
Period

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kama fact ni "Ilyushin Il-96-300PU" ni ndege specifically kwa Rais wa Russia you are right; but, unfortunately, it isn't!
Basi tafuta fact yako, binafsi sikulazimishi uikubali fact hii.
=====
The main presidential aircraft is the four-engined, long-range, widebody Ilyushin Il-96-300PU, a highly modified Il-96, with the two last letters standing for "Command Point" in Russian. Five modified Il-96s have been used as presidential aircraft, the first one was used by the first President of Russia, Boris Yeltsin.
====
Asubuhi njema.
 
Wacha kudanganya umma, utafungwa, hii ni Ilyushin Il-96-300PU
1657003726825.png
 
Mleta mada hata kama ukikimbia nakuja hukohuko PM haiwezekani ujifanye Janja janja kumbe huna lolote
Sasa watu tutakuwa tunatafuta ushahidi sahihi kwanza kabla ya kuamua kufanya kitu. Na hii ni afya kwa bongo zetu! Tubarikiwe sote pamoja na mleta Mada.
 
Propaganda nyingine zinashangaza kidogo,ninacho vipongeza media za magharibi zimefanikiwa sana kuwachota akili/brainwash watu wengi Duniani - yaani wengi wao wana amini kwamba Urusi haina uwezo wowote katika fani za sayansi na teknolojia au jeshi!!
Sasa hapa sijui tatizo ni kiingereza au nini sijui, ndege inaonekana ni Ilyushin - has nothing in common na Boeing.
 
... naona tunabishana badala ya kuweka facts mezani. Hoja ni "Ilyushin Il-96-300PU" zimezalishwa ngapi tangu 1992 zilipoanza kuzalishwa. Kama fact ni "Ilyushin Il-96-300PU" ni ndege specifically kwa Rais wa Russia you are right; but, unfortunately, it isn't! Hao Cuba unaosema walinunua hiyo ndege nao ni kwa ajili ya matumizi ya Rais wao?
TUJITEGEMEE, Mpinzire
Uko sawa mkuu. Hata hawa wengine ndege za marais wao ni ndege zile zile za kawaida ila huzifanyia upgrades kwa matakwa yao, sawia na hiyo -300PU au VC 25 kama sikosei kwa boeing. Na bado kwa Russia zao zote zipo kwa matumizi ya serikali zaidi chini ya Rossiya.
 
Uko sawa mkuu. Hata hawa wengine ndege za marais wao ni ndege zile zile za kawaida ila huzifanyia upgrades kwa matakwa yao, sawia na hiyo -300PU au VC 25 kama sikosei kwa boeing. Na bado kwa Russia zao zote zipo kwa matumizi ya serikali zaidi chini ya Rossiya.
... ndio maana nikauliza how comes kwa miaka 30 zimezalishwa 30 tu kama pia zinauzwa kibiashara?
 
ila kuunga mkono Urusi ni ujinga wa kiwango cha reli maana urusi hapiganii maslai yetu wala ya mtu yeyote mbali na warusi so ilibid waafrik tuutumie huu mgogoro kupiga hatua ila tumekubali kubakia nyuma , na ss hv tumejiwek nyuma ya Uruai it means tumekubali kuwa vikatuni wa watu fulan , kpnd hiki ndo ilikuwa simple kuwatumia wazung kukuza uchumi maana wanajiandaa kuwekeza ili kukabiliana na China , hz Fursa Kenya kaziona na kashachangamkia tyr
Yaani RUSSIA aache kupigania maslahi ya watu wake apiganie maslahi yenu
Waafrika alietutoga kwakweli kafa tenA kafa haswaaa
Kama unategemea litatokea tu taifa likupiganie bila sababu poleni
Basi c bora mukae tu na mutawaliwe tena mambo yaishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uongo inabidi tuanze kureport kwa wahusika moderator tunalishwa pumba huku, tena anakiuka sera za jf
 
Back
Top Bottom