Elections 2010 Kumbe rostaz alikua afrika kusini, siku kura feki zinadaiwa kuingizwa toka huko?

Elections 2010 Kumbe rostaz alikua afrika kusini, siku kura feki zinadaiwa kuingizwa toka huko?

Hiyo mie mwenyewe niliipata nikiwa hapa South Africa kwa masikio yangu mwenyewe, akiongea bwana mmoja ambaye ni mwambata wa kijeshi katika ubalozi wa Tanzania huko Pretoria (Brigedia M****) kwamba "kura feki za Zanzibar zimetengenezwa mjini Sandton - uliopo jimbo la Gauteng na wanataka kura za CUF na CCM zitofautiane kidogo! Halafu za Tz bara zimetengenezwa Bloemfontein - mji mkuu wa jimbo la Free State na wanataka kikwete apate kati ya asilimia 70 - 80".

Sasa RA kusema kuwa alikuwa SA inawezekana, na anahusika kushiriki ktk mkutano wa wachakachuaji kwa sababu atakuwa aliwaambia niandikeni jina nakubaliana na hayo mtakayoazimia au imekuwa rahisi yeye kusema alikuwa SA lakini hakwepo kwa sababu hisia zinamtuma hivyo akijua akilini kwamba kuna mipango ya wizi walikuwa wakishughulikia huko!

Dr Slaa aliwaprovoke .... wakabwabwajika walikuwa wapi eh?

JF ...Ni makosa makubwa sana kupuuzia hizi taarifa...!!!

Hizi habari zifuatiwe mara moja kwa kina inavyowezekana!!!!

Kwa hali yeyote haishindikani kabisa kupata leadings za hizi details ...

Kuhusu matokeo ya CUF vs CCM:

Mambo muhimu yaliyotajwa....!!!
1. Mwambata wa Kijeshi....Brigedia...!! Mjini Pretoria!
2. Mjini Sandton Jimbo La Gauteng..!

CHADEMA vs CCM NI :

Mambo muhimu yaliyotajwa ...!
1. Mjini Bloemfontein... !
3. Jimbo la Free State

Uchaguzi umepita its ok!!
Lakini haya ni maadalizi kwa ujenzi wa demokrasia siku zijazo...nothing to waste!!

We have to find truth...and the truth alone!!!



 
Ni kweli ni mfanyi biashara lakini siku hiyo alikuwa anashughulikia swala la karatasi za kura kama unabisha shauri yako
maana aliyeona kontena ni mwangalizi wa TRA na alivyotoa report kwa Bosi wake akamwambia hairuhusiwi kukaguliwa na ikafanyika mbinu kushirikiana na mkuu wa polisi haraka haraka na gari likatokomea wakaweka gari lingine kwa ushahidi tu na kama huamini ubaki na umasikini wako,JK atakuwa rais lakini hamna anayemthamini kwa sasa na atapata taabu sana katika kipindi hiki cha 5years

Hakuna mwenye tatizo na Urais wa Kikwete...

Lakini: HAPA KUNA ANGALIZO;

Watanzania wote wapenda ukweli ...Amani na ukweli katika kweli...!!

Kwa ajili ya ujenzi wa Tanzania ya kweli ya ubinaadamu, utu kamili na haki kwa kila mwananchi na mbele ya Mungu ....

Hizo habari za Kontena la Tunduma ...na TRA .... na Polisi... Zisipuuzwe..!

Ziendelee kufuatiliwa kwa makini na uwezekano wa Muunganiko wake na Uwepo wa RA South africa...

Then hizo taarifa ziunganishwe na MuaMbata wa Jeshi Pritoria....Brigedia....

Then Taarifa ziunganishwe na Usalama wa Taifa....

Usalama wa taifa uunganishwe na Mabox ya kupiga kura yaliyobailishwa namba za vituo etc kama alivyodai Dr...na akatoa mfano wa Jimbo la Karatu. Na kuwataka usalama wa Taifa kumpleka mahakamani kama wanataka!!

Then iunganishwe na ...Makaratasi ya kupigia kura yaliyoonekana ...hapa na pale ndani ya TzBara etc....

...Hatuna haraka...uchaguzi umekwisha....hakuna Jazba.... hakuan fujo.... ni kama tunacheza chess tu!!

..... Tunaoenekana wanugunikaji, tunaonekana tunataka kuvunja amani...But we will do it proffesionaly ....hatunuguniki...wa are simply pointing out some facts.. hatuna haja ya kuvunja amani na utulivu ..bali ..tunaitafuta ..kuilinda na kuienzi kwa Heshima ya nchi yetu...!!
 
Nimeshtuka kidogo, baada ya kuona kwenye TV Rostam akijitetea kuwa siku anayodaiwa kufanya kikao Mwanza tarehe 19 alikua Afrika Kusini toka tarehe 16 October. Kilichonishtua ni kwamba tarehe 17 October, Rostam akiwa bado Afrika Kusini, ndio siku ambayo kulitokea kontena linalodaiwa kuwa na kura feki kuingizwa nchini toka A. Kusini kupitia Tunduma.
Hebu wananchi tutafakari hili................

Hata kama kwenye passport yake kuna muhuri wa kuondok SA tarehe 19, hauoneshi muda ambao aliondoka. Angeweza kuondoka hata saa sita usiku (bado ingekuwa tarehe 19) na kufika Dar alfajiri, na angewahi hicho kikao.

Utetezi wake hauna msingi wa kuthibitisha kwamba hakushiriki huo mkutano. Hajatuzuga!
 
who da hel iz RA!!! one head out of 45 million tz. naanzisha sisa walah amejikaanga mwenyewe na hata huko kwake tabora si kwamba huwa anashinda kwa kishindo ila ni mchezo wake mchafu wa hizo karatasi feki. why alwayz this guy? MAANA TUNAKUMBUKA RICHMOND. ELIMINATE THIS GUY
 
Hata kama kwenye passport yake kuna muhuri wa kuondok SA tarehe 19, hauoneshi muda ambao aliondoka. Angeweza kuondoka hata saa sita usiku (bado ingekuwa tarehe 19) na kufika Dar alfajiri, na angewahi hicho kikao.

Utetezi wake hauna msingi wa kuthibitisha kwamba hakushiriki huo mkutano. Hajatuzuga!

Lakini Pia:

Kuna nyakati nyingine nikitaka kujua kuwa wewe ulikuwa South Africa....sitakuuliza moja kwa moja .... nitakachofanya ...nakutuhumu kuwa ulikuwa Nairobi au Kampla....alafu wewe utakuja mbele ya vyombo vya habari etc na kusisitiza ulikuwa wapi na saa ngapi....!

So unakuja na kuhakiki bila mashaka yeote...kuwa ulikuwa SouthAfrica....

Na kumbe that is what I wanted .... na nitakutolea ushahidi ya ulichofanya south africa...etc...
 
who da hel iz RA!!! one head out of 45 million tz. naanzisha sisa walah amejikaanga mwenyewe na hata huko kwake tabora si kwamba huwa anashinda kwa kishindo ila ni mchezo wake mchafu wa hizo karatasi feki. why alwayz this guy? MAANA TUNAKUMBUKA RICHMOND. ELIMINATE THIS GUY

KOMANGI;

Kuna kitu kinaitwa UTU;

Its so powerful and infinitly positive..kwenye kumsatwisha mwanadamu ndani ya hii dunia...

Kama Utu ukiwa activeted properly... Hata mafisadi wawe milioni managapi...They will be consumed by it ...na mambo mema ya kustawisha jamii yatatokea...Tu!!!

Nachosema...

Kaa angalia kwa makini sana.... Mwenendo Mzima wa Nguvu ya Kifisadi inayoitawala Tz kwa sasa na ushiriki wa huyu RA....

Kama uko makini sana utaona kuwa ....

Ufisadi na RA ..they are done...!!! Yaani very soon watanasa mtegoni!! hawatachomoka...!! WAO WANA AKILI TU..... SISI TUNA UTU na AKILI!!!!!!!

Ngoja baada ya muda kidogo ..utaona nachosema...!

Nguvu ya utu na Umma wa utu...THE PEOPLES... POWER IS REAL POWERFULL ....wait and you will see!!

Hawajamaa hawana round...!na goothing hawana ufahamu wa kuwaonyesha kuwa wameshajisokota kwenye fundo...lisilofunguka tena...!!
 
Nimeshtuka kidogo, baada ya kuona kwenye TV Rostam akijitetea kuwa siku anayodaiwa kufanya kikao Mwanza tarehe 19 alikua Afrika Kusini toka tarehe 16 October. Kilichonishtua ni kwamba tarehe 17 October, Rostam akiwa bado Afrika Kusini, ndio siku ambayo kulitokea kontena linalodaiwa kuwa na kura feki kuingizwa nchini toka A. Kusini kupitia Tunduma.
Hebu wananchi tutafakari hili................

Tupe vielelezo, hizi habari za uchochezi hazifai, kasema alikuwa A. Kusini ww unasema alikuwa mbeya tua vielelezo sio hatutaki baruti.
 
Hata kama kwenye passport yake kuna muhuri wa kuondok SA tarehe 19, hauoneshi muda ambao aliondoka. Angeweza kuondoka hata saa sita usiku (bado ingekuwa tarehe 19) na kufika Dar alfajiri, na angewahi hicho kikao.

Utetezi wake hauna msingi wa kuthibitisha kwamba hakushiriki huo mkutano. Hajatuzuga!


Ni kweli ushaihidi wake hauna misingi ya kuthibisha hakushiriki huo mkutano, Je ni ushahidi gani unaoweza kututhibitishia alishiriki huo mkutano? najua kama unao basi ni kwamba dr. kasema.
 
Tupe vielelezo, hizi habari za uchochezi hazifai, kasema alikuwa A. Kusini ww unasema alikuwa mbeya tua vielelezo sio hatutaki baruti.
Hivi wewe umeshasahau kuwa ni masaa machache tu toka JHB to Dar! ni kipi kitakachomzuia kuhudhuria huo mkutano physically???? pia kuna uwezekano kuwa alihudhuria kwa call au video conference!!!!
Kwa utetezi wake amebugi step..
 
Iko siku nguvu ya UMMA! itachukua hatua dhidi ya ufisadi.
Kwwni siku hiyo jua litawaka kama mbalamwezi, ni siku ambayo Mzee mwanakijiji aliitabiri.

Huo mwangwi wa mlipuko wa kuchoka hujuma utasikika kila nchi.
 
Iko siku nguvu ya UMMA! itachukua hatua dhidi ya ufisadi.
Kwwni siku hiyo jua litawaka kama mbalamwezi, ni siku ambayo Mzee mwanakijiji aliitabiri.

Huo mwangwi wa mlipuko wa kuchoka hujuma utasikika kila nchi.

Naaaam!!! Na tutaimba Mungu ibariki Tz !!
 
Acheni uzandiki nyie na uzushi, huyu jamaa ana fanya biashara zake nyingi tu Afrika Kusini .

Wewe kweli 'GeniusBrain ya kichina'! Pole sana, afadhali usitumie tena jina lako hilo maana haliendani na arguments zako na substance ktk yale unayotetea. huyu mh kweli mfanyabiashara, ila coincidence kama alivyojikamatisha, imefumbua maswali mengi na majibu hayatapatikana toka ktk kundi lake yaani CCM bali toka kwa umma ambao ndio wenye taifa lao. tuwe makini sana ktk kutetea dubious situations hasa kama za wale umma unaonyooshea vidole kwa mienendo yenye mkengeuko!
nawasilisha.
 
Hiyo mie mwenyewe niliipata nikiwa hapa South Africa kwa masikio yangu mwenyewe, akiongea bwana mmoja ambaye ni mwambata wa kijeshi katika ubalozi wa Tanzania huko Pretoria (Brigedia M****) kwamba "kura feki za Zanzibar zimetengenezwa mjini Sandton - uliopo jimbo la Gauteng na wanataka kura za CUF na CCM zitofautiane kidogo! Halafu za Tz bara zimetengenezwa Bloemfontein - mji mkuu wa jimbo la Free State na wanataka kikwete apate kati ya asilimia 70 - 80".

Sasa RA kusema kuwa alikuwa SA inawezekana, na anahusika kushiriki ktk mkutano wa wachakachuaji kwa sababu atakuwa aliwaambia niandikeni jina nakubaliana na hayo mtakayoazimia au imekuwa rahisi yeye kusema alikuwa SA lakini hakwepo kwa sababu hisia zinamtuma hivyo akijua akilini kwamba kuna mipango ya wizi walikuwa wakishughulikia huko!

Ama kweli MUNGU haachi kusimama na watu wake! au ndio maana pia mzee Zuma kazuka mitaa? kaja kujipongeza na msanii kwa dili ku-tick fresh, ila ijapo yametibuka!
 
Rostam Rostam Rostam Rostam Rostam...........aah kwanini wewe tu?
 
:A S angry: kwanini kuua ikawa dhambi au kifungo....? rostam kila mahali kama chinese items jamaniii
 
Back
Top Bottom